mwanamke hana dhamana na sisi wanaume tumezidi ubwege nazi ( ujinga ) acha tu akina dada watutese na watupelekeshe watakavyo! Unaacha kumsomesha ndugu yako wa damu unahangaika kumgharamikia demu tena wengine huwa mnaniboa kweli kwani utakuta demu hakutaki lakini wewe unakomaa tu. Acha mteswe tu malofa wakubwa nyie! Mimi niliacha kupenda rasmi mwaka 2010 na sasa ukiniona na demu ujue namdanganya tu na nakwenda kumbatua kisha nahamisha kambi. Mwanamke hata umpe nini na hata umsugue vipi bado tu atagongwa nje na masela na kibaya zaidi masela wa siku hizi wanajua kweli kusimamia show ( kugegeda ) na wengi wao wanagonga * 148 * 01# ok ( kinyeleo ). Ukiwa masikini unakanyagiwa, ukiwa tajiri napo pia unakanyagiwa hivi nyie dada zangu nani kawaroga? Cha msingi sasa ni kuishi kama mafia tu unatafuta demu na unamseti akuzalie mwana, amlee kisha akikua tu mkubwa mama anasepa kwa kumpa hata mtaji kisha wewe unaishi tu na mwanao. Dada zangu mnatia sana hasira ndiyo maana nasi midume sasa tunaishi kimagumashi na kiminyato. Badilikeni jamani mnatuumiza........................................................:smile-big:
Kwa mujibu wa magazeti ya Leo hii stori inaendana na ya U4 kwa kiasi kikubwa sana,kama mtoa mada alivyodokeza,mtu asome Mwananchi au Habari Leo atathibitisha hilo,ni kwamba hata Mama wa Bint alimtetea bintiye,inaonesha bint alisema ana safar ya Kilimanjaro,jamaa baada ya kumpigia simu mama wa Bint mama nae akasapoti,so wamama nao wanapaswa kuwa makini,inaonesha mama wa bint anaujua uhusiano wa Christine na Munisi vizuri tu ila sasa tamaa nao wamama zimewashika,huenda mchumba mpya hakuyajua hayo,na kama hakuyajua hayo(huyo raia wa kenya) kuna uwezekano nae akitoka hospitali atabwaga manyanga pia
Uzinifu ndio chanzo cha hayo yote. Oaneni kabla hamjavuliana chupi.
Mungi, hii dunia ina makorokoro mengi sana. Iwe kweli au si kweli lakini mtu kuchukua uhai wa mwenzake na wa kwake at a go si suala dogo. Hawa wadudu wa kike waone hivyo hivyo. 1999 kidogo ni disco kwa sababu kama za Ufoo. Niishie hapa
Jamani mdogo wangu Gabriel kwanini umejiondoa mapema kisa mapenzi.
Kweli jana niliipuuza hii habari ila leo nimesoma kwa umakini nimeshituka sana.
Pole sana dada Gloria kaka Edo na Mama.
Tumekuwa pamoja pale Kitangiri Mwanza jeshini.
Poleni familia.
Huyo raia wa Kenya ni mchumba wa dada yao mkubwa,anaitwa carol....ndiye aliyekuwa anadrive....na yuko hospital...Hajafa!!
So,walikuwa wanaendeshwa na shemeji yao....(marehemu Alfa&Christine)pamoja na Bi.Mkubwa.
Hatakama umeoa ndugu hawajamaa ni kunguni ukigusa2 ananuka labda awe mchamungu sana bilahivyo subiribalaa utauwa.
Ili ulimwengu uwe sehemu salama ya kuishi inabidi wanawake wote wafe..maana wamezidi sana..
Ha ha haaaaa utachekwa mchana kweupe ujue!!!!!!
Nikikukuta mkuu ni maganja kwenda mbele ana ukibisha napiga kelele ya mwizi!!!!!
thanx,so mume mwenza wa Gabriel hakua kwenye gari,,,,,
Hapana hapa kulikuwa na mkataba / contract kama ni kweli lakini. Kulikuwa na contact kati ya hawa wawili, kumbuka mkataba siyo lazima uandikwe hata wa maneno ni mkataba
Ha ha haaaaa utachekwa mchana kweupe ujue!!!!!!
Nikikukuta mkuu ni maganja kwenda mbele ana ukibisha napiga kelele ya mwizi!!!!!
heheheheheeee,,,,,,,,ila ungekua na pisto ww,hiyo 1999 ungeua
Honestly huwa muoga sana wa kupenda,mambo yenyewe ndo haya ya kuzinguana nahofia sana,wacha niumize kichwa kwenye pesa,watu wengi wananitegemea leo nije nijiue kwa kuzinguliwa na bint,its beta nikawa naepuka mapemaaa