Mauaji Nigeria

Mauaji Nigeria

FB_IMG_16522976898942508.jpg
 
Hawa jamaa tunawachekea sana...ndo maana wanaendeleza kufanya huu us.nge..

Inatakiwa tuwe tunafanya tit for tat,huu ni upuuzi na wanajiona sana...
 
Hawa jamaa tunawachekea sana...ndo maana wanaendeleza kufanya huu us.nge..

Inatakiwa tuwe tunafanya tit for tat,huu ni upuuzi na wanajiona sana...
Ni wa kuwasamehe tu, hawajui walitendalo.
Wanadhani wanampigania Mungu wao kumbe sio.
 
Mbona umeruka kwenye wanawake kama kitu cha ajabu wakati Adam mwenyewe alipewa mwanamke? We umepotosha kwamba kila mtu atapewa wanawake 72 bila kuleta andiko. Hayo madai umeyatoa wapi? Au umemezeshwa na wenzako wa mitandaoni?
Adam akumuoa Hawa bali alikabidhiwa
Naona hapo Yesu ataoa peke yake.

Ufunuo 19:7 BHN​

Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa harusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi harusi yuko tayari.


Adam kwa nini alipewa mwanamke peponi ?Kuoa na kuolewa ipo Sawa kwani Sifa za malaika unazijua kwa mujibu wa biblia yenu?
Kwa nini vitu hivyo we unaona vya ajabu sana wakati una amini kwa mujibu wa imani yako Mungu alishuka duniani na kujitundika msalabani ili msamehewe dhambi?
We una imani ya kuimba na kucheza. Ikiwa sauti sina na sijui kucheza, mtanilazimisha?

Kwa hiyo kijana usiwe unaropoka vitu.
Adam alingonoka sardaus mbele ya Allah??
Hushangai kukata mauno mbele ya allah na kumpigia kelele Allah na miguno ya ngono, huku wengine wametoka kuogelea kwenye mito ya Ulevi!
Halafu unajua walevi wanavyopenda kukojoa kojoa huoni wataķojolea sardaus??
 
Hawa jamaa tunawachekea sana...ndo maana wanaendeleza kufanya huu us.nge..

Inatakiwa tuwe tunafanya tit for tat,huu ni upuuzi na wanajiona sana...
Mnawachekea wakina nani? Wewe na nani? NIGERIA siyo mbali, nenda kafanye hiyo tit for tat, ni vizuri kutoa mfano kwa vitendo na siyo kutumia lugha ya wingi kuhamasisha watu katika uharibifu/uadui - tena kwa lugha chafu, nenda mwenyewe kwanza ukafanye ulichonuia, ukirudi utatusimulia
 
Busara na hekima ni kulaani vitendo vyote viwili

1. Kudhihaki imani ya mtu

2. Kumpiga na kumuua aliyefanya kitendo namba 1

Mamlaka husika zichukue hatua stahiki kwa wote waliohusika
 
Since something like this happened, here's my advice to y'all

1. We should learn on these beliefs the correct understanding on how to deal with people's mockery, negativity, insults and harms

2. We should change our attitude; stop blasphemy - stop the hate

3. We should respect/appreciate all religions/beliefs, values and attitudes

4. Religions leaders should speak out about radical religious group/ideas/views

5. We should call for tolerances and patience

6. We should observe utmost precautions, extremism is not confined to any religion/political party

7. We should adopt the principle of pardon forgiveness

8. We should know others religions boundaries and avoid delibarately infuriating somebody

9. We should debate/deliver our opinions with clarity and diplomacy: avoid using profane language

10. We should promote peace, justice and tranquility
 
We tangu uliposikia hilo andiko huwa halitolewi. Ila la kuimba,kucheza na kunywa divai halikufurahishi kwa mujibu wa biblia?
Muda wote unapiga nyimbo na kucheza kama Diamond. Tarumbeta na ngoma mwanzo mwisho bila kupumzika
Hili hapa Andiko!

Sunan Ibn Majah 4337
It was narrated from Abu Umamah that the Messenger of Allah (ﷺ) said:
“There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).’”
حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ الأَزْرَقُ أَبُو مَرْوَانَ الدِّمَشْقِيُّ، حَدَّثَنَا خَالِدُ بْنُ يَزِيدَ بْنِ أَبِي مَالِكٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ أَبِي أُمَامَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ مَا مِنْ أَحَدٍ يُدْخِلُهُ اللَّهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ زَوَّجَهُ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ ثِنْتَيْنِ وَسَبْعِينَ زَوْجَةً ثِنْتَيْنِ مِنَ الْحُورِ الْعِينِ وَسَبْعِينَ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ مَا مِنْهُنَّ وَاحِدَةٌ إِلاَّ وَلَهَا قُبُلٌ شَهِيٌّ وَلَهُ ذَكَرٌ لاَ يَنْثَنِي ‏"‏ ‏.‏ قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏

Reference : Sunan Ibn Majah 4337
In-book reference : Book 37, Hadith 238
English translation : Vol. 5, Book 37, Hadith 4337
 
Ewe ndugu yangu Muislamu/Mkristo/Myahudi/Mhindu/Mbudha nakadhalika, wekeza nguvu zako zote kwenye kujenga, kutengeneza na kuimarisha mahusiano yako na Mungu wako

Kuponda imani za wengine hakujawahi kuwa ibada na wala hakumfanyi yeyote katika sisi kuwa mtakatifu/mchamungu

Na mwenye kuua mtu pasina hatia ni kana kwamba ameua watu wote ulimwenguni, tuwe tunafikiri kwa kina kabla ya kutenda, kila kitendo kina gharama yake; manufaa/maangamivu
 
Huna unaloliewa. Kipimo kidogo sana umejionesha jinsi ulivyo finyu. Kama huamini kuwa u poyoyo, weka ushahidi wako.

Kwa kukujza tu,hakuna taifa wala dini iliyoitwa "Wayahudi" wakati wa Yesu.
Rudi tena shule ukasome, usijidai unajua kila kitu.. Unajiabisha mbele za watu.. Unaweza kuwa mjinga, ila usiwe mpumbavu.
 
Sawa


Suppose what you're saying is correct, what's that gonna harm you?

The word kaffir just simply means someone who reject faith/iman
Gonna harm me cause the just hate me wit no reasons.
Dei call me Cafir an hate me.

An dei can kil me any time.
Had yo notice dis danger ?
 
Yule muuaji wa buffalo city USA angekuwa ni Muislamu Ingekuwa habari kubwa Sana
Point yako ni nini mkuu? Kwamba waislam waendelee kuua wengine kisa dini? Na wakiua wanyamaziwe kwa sababu kuna wauuaji wengine waaio waislam?
 
Point yako ni nini mkuu? Kwamba waislam waendelee kuua wengine kisa dini? Na wakiua wanyamaziwe kwa sababu kuna wauuaji wengine waaio waislam?
Sipo huko,means sio habari kisa kafanya Mzungu,pili Muislamu hawezi ua watu wasio na hatia. Wale wanaoua ni wahuni wasiyoijua hata dini.
 
Whoever kills a dhimmi "non muslim whose people have peace treaty" with muslims will not enter paradise for ...
 
ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ
وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُم بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ

[ AN NAH'L - 125 ]
Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka

وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

Umetisha sana
 
Una jeuri gani wa kupigana na waislamu!! Kila kona ya Tanzania kuna waislamu, hiyo jeuri ya kuwapiga waislamu inatoka wapi!!! Acha kuongea kwa hisia kijana, utabondwa hadi kufa na urudishwe huko kwenu ITALY. Hii nchi ina idadi kubwa ya waisilamu, ivyo usithubutu kufanya hayo utakuisha
Sasa kama wanajitoa muhanga kwa kuua watu hovyo tufanyaje??

Tushauriane tusifike huko kwa waislamu kuto fanya mauaji kwa wakristo kwa kizingizio cha kutetea dini.

Vivyo hivyo wakristo tusilipize kisasi kwa unyama tunaofanyiwa na baadhi ya waislamu.

Ukizungumzia suala la uwingi kwa Tanzania idadi ya waislamu ni kama tone la maji kwenye bahari.
 
View attachment 2237185

nawausia ndugu zangu waislam kua na subira na uvumilivu wa maudhi hivo ni Bora zaidi kwetu sisi kwani maudhi hayakuanza leo Wala Jana tukumbuke kisa Cha Mtume wetu alipokea kejeli,,matusi na kashfa na vitisho vingi Mara tu baada ya kupokea utume lakini alivumilia na kua na subra Wala hakuwaombea mabaya Wala kuagiza wauwawe na wengi wa waliokua wakimkejeli wakaja kusilimu kutokana na tabia na mwenendo wake kwao tukumbuke pia alipoenda kijijini Cha Tai'f alipigwa mawe kiasi nguo zake zilitapakaa damu malaika akamshukia kwa idhini ya Mwenyezi Mungu kumuuliza adhabu gani ingewastahili wenye mji ule ili Mwenyezi Mungu aitekeleze juu yao lakini mtume wetu akasema amewasamehe na kumuomba Mwenyezi Mungu asiwaadhibu Bali azilainishe nyoyo zao wawe waislam na baada ya muda kupita tunashuhudia wenyeji wote wa mji ule walisilimu Basi nasi tujipambe na sifa za Mtume wetu,,,

Pia nawausia wenzetu wa upande wa pili kuacha chokochoko,,kejeli na kashfa dhidi ya waislam na kile wanachokiamini kwani waislam tuna mapenzi makubwa mno na imani yetu na mtume wetu zaidi ya mapenzi ya mama kwa mwanae au zaidi ya vile alivyopendwa yesu na wanafunzi wake maana Kuna waliomsaliti na waliomkana kipindi Cha misukosuko lakini mtume wetu Ni kinyume chake hakuwahi kusalitiwa Wala kukanwa na maswahaba wake pamoja na misukosuko yote aliyopitia Bali walikua tayari kufa wakimkinga dhidi ya washirikina wa macca,,,na mahaba hayo yamedumu Hadi hivi leo Sasa ukimpenda mtu halafu ukaona anafanyiwa ndivo sivo roho lazima iumie na kwa vile sisi pia Ni binadamu ukiumizwa Kila mtu ana kiwango chake Cha subra na uvumilivu kuepusha Shari za namna hii Kila dini ziheshimu Imani za wengine tutaishi kwa salama na kiukweli waislam tunajitahidi Sana katika hili la kuheshimu Imani za wengine ndo maana hujapata kusikia muislam amechoma,,amechana au kukojolea au kutemea mate Wala kukanyaga biblia,,,hujapata kusikia muislam ana mtusi yesu Wala Maria mama yake,,lakini kejeli na kashfa nyingi zinatoka kwa wakristu ambao kutwa mnajisifu kua mna upendo lkn ukweli upendo wenu Ni wa nje TU ila kwa ndani mna chuki kubwa Sana dhidi ya waislam,,, Basi tuchukieni tu kimoyomoyo msianzishe uchokozi halafu waislam waki react ionekana ndio wakorofi huku mnasahau huku kwetu hakuna unyonge wa " akupigae la kulia mgeuzie la kushoto" huku kwetu Kuna ""wakikupigeni nanyi wapigeni Hadi fitina iondoke katika ardhi maana fitina Ni mbaya kuliko kuua, wakikushambulieni nanyi washambulieni sawa sawa na walivokushambulieni,,, lakini wakiacha nanyi acheni wala MSIANZE UADUI kwani Mwenyezi Mungu HAWAPENDI WAANZAO uadui"" Sasa mnaanza uadui halafu tukireact tunaonekana sisi ndo maadui,,acheni hizo.
Baada ya kusema hayo SIUNGI mkono walichofanya ndugu zetu waislam dhidi ya huyo dada wa kikristu Ni kinyume na mafundisho ya Quran na sunna.
 
Mimi ni mkristo ila huwa naupenda sana uislam. Nauchukia sana inapofika masuala kama haya huwa najiuliza hivi ndivyo mwenyezi mungu anataka? Kwamaba kila anayeukashfu uislam lazima afe?
 
View attachment 2237185

nawausia ndugu zangu waislam kua na subira na uvumilivu wa maudhi hivo ni Bora zaidi kwetu sisi kwani maudhi hayakuanza leo Wala Jana tukumbuke kisa Cha Mtume wetu alipokea kejeli,,matusi na kashfa na vitisho vingi Mara tu baada ya kupokea utume lakini alivumilia na kua na subra Wala hakuwaombea mabaya Wala kuagiza wauwawe na wengi wa waliokua wakimkejeli wakaja kusilimu kutokana na tabia na mwenendo wake kwao tukumbuke pia alipoenda kijijini Cha Tai'f alipigwa mawe kiasi nguo zake zilitapakaa damu malaika akamshukia kwa idhini ya Mwenyezi Mungu kumuuliza adhabu gani ingewastahili wenye mji ule ili Mwenyezi Mungu aitekeleze juu yao lakini mtume wetu akasema amewasamehe na kumuomba Mwenyezi Mungu asiwaadhibu Bali azilainishe nyoyo zao wawe waislam na baada ya muda kupita tunashuhudia wenyeji wote wa mji ule walisilimu Basi nasi tujipambe na sifa za Mtume wetu,,,

Pia nawausia wenzetu wa upande wa pili kuacha chokochoko,,kejeli na kashfa dhidi ya waislam na kile wanachokiamini kwani waislam tuna mapenzi makubwa mno na imani yetu na mtume wetu zaidi ya mapenzi ya mama kwa mwanae au zaidi ya vile alivyopendwa yesu na wanafunzi wake maana Kuna waliomsaliti na waliomkana kipindi Cha misukosuko lakini mtume wetu Ni kinyume chake hakuwahi kusalitiwa Wala kukanwa na maswahaba wake pamoja na misukosuko yote aliyopitia Bali walikua tayari kufa wakimkinga dhidi ya washirikina wa macca,,,na mahaba hayo yamedumu Hadi hivi leo Sasa ukimpenda mtu halafu ukaona anafanyiwa ndivo sivo roho lazima iumie na kwa vile sisi pia Ni binadamu ukiumizwa Kila mtu ana kiwango chake Cha subra na uvumilivu kuepusha Shari za namna hii Kila dini ziheshimu Imani za wengine tutaishi kwa salama na kiukweli waislam tunajitahidi Sana katika hili la kuheshimu Imani za wengine ndo maana hujapata kusikia muislam amechoma,,amechana au kukojolea au kutemea mate Wala kukanyaga biblia,,,hujapata kusikia muislam ana mtusi yesu Wala Maria mama yake,,lakini kejeli na kashfa nyingi zinatoka kwa wakristu ambao kutwa mnajisifu kua mna upendo lkn ukweli upendo wenu Ni wa nje TU ila kwa ndani mna chuki kubwa Sana dhidi ya waislam,,, Basi tuchukieni tu kimoyomoyo msianzishe uchokozi halafu waislam waki react ionekana ndio wakorofi huku mnasahau huku kwetu hakuna unyonge wa " akupigae la kulia mgeuzie la kushoto" huku kwetu Kuna ""wakikupigeni nanyi wapigeni Hadi fitina iondoke katika ardhi maana fitina Ni mbaya kuliko kuua, wakikushambulieni nanyi washambulieni sawa sawa na walivokushambulieni,,, lakini wakiacha nanyi acheni wala MSIANZE UADUI kwani Mwenyezi Mungu HAWAPENDI WAANZAO uadui"" Sasa mnaanza uadui halafu tukireact tunaonekana sisi ndo maadui,,acheni hizo.
Baada ya kusema hayo SIUNGI mkono walichofanya ndugu zetu waislam dhidi ya huyo dada wa kikristu Ni kinyume na mafundisho ya Quran na sunna.
Taqiya

وَدُّوا لَوْ تَكْفُرُونَ كَمَا كَفَرُوا فَتَكُونُونَ سَوَاءً ۖ فَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ أَوْلِيَاءَ حَتَّىٰ يُهَاجِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ وَجَدتُّمُوهُمْ ۖ وَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ وَلِيًّا وَلَا نَصِيرًا

[ AN-NISAAI - 89 ]
Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.

قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
IMG_20220320_202349.jpg
 
Back
Top Bottom