Wakuone malaika wakuone takataka, wewe hilo linakupunguzia nini au linakuzidishia nini kwa Mungu wako?
Tsk!
Halafu kwani waarabu wao ni wakina nani? Au ni Miungu watu? Kuipamba hoja yako katika hilo naonelea waungane na wazungu, wahindi, waafrika, wachina na wengine, huenda kundi unalolishambulia litageuka na kuwa takataka kweli
Maneno ya Dr. Al-Arifi hayo au siyo? Au ni ya Shaykh Al-Afifi? Si kila mnachokutana nacho kwenye mitandao na kukisoma ni authentic, fanyeni bahth kwenye marejeo
Jaalia hiyo meme aliyolishwa Al-Arifi ni kweli tupu

! Tujenge hoja huwezi jua bwana naye ni binadamu, ila kati ya hayo maneno yanayotuhumiwa ni ya Al-Arifi na haya yaliyonukuliwa kwenye Biblia Takatifu kwamba ni matamshi ya Yesu ni yapi makali zaidi?
Mathayo 16:23
Yesu aligeuka na kumwambia Petro, "Ondoka mbele yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu ..."
Nitaifuata hii post kabla ya saa 0700 kesho panapo majaaliwa