Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,366
- 18,152
Kwahiyo unasisitiza kuwaIla kuimba na kukata viuno ndiyo sehemu unayotaka wewe. Ndiyo maana wengi wenu ni wajinga kwa kumezeshwa kila kitu bila kufanya utafiti wa kimaandiko. Mke zaidi ya mmoja kwa wanaume wenye nguvu zao. Ndiyo maana karibia mitume wote walikuwa na mwanamke zaidi ya mmoja. Ukimuona mwanaume anashangaa mtu kuwa zaidi ya mke mmoja, atakuwa na matatizo ya uhanithi.
Huyo Yesu wa biblia anadai atapiga vyombo.
Mathayo 26:29
Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”
Mbinguni
Kwa Allah
Pombe, Maziwa na Asali na Wanawake kama kawaida sio ?
Kwetu haitakuwa hivyo huko tutaishi kama Malaika.
Hakuna mambo ya kuzawadiwa wanawake.
Marko 12:23 Basi, katika kiyama atakuwa mke wa yupi katika hao? Maana wote saba walikuwa naye.
24 Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu?
25 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni.
Kama unasema mambo ya Ufalme wa Mbingu hata sasa sisi tupo katika Ufalme wa Mbingu ndio maana tunatumia Divai kwa kiasi.
Luka 17:20 Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;
21 wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.
Halafu Ondoa jazba basi unapo ongea. Nini shida kwani ?
wakati mi nimeongea mambo ya kwenye maandiko tu ?
Au ndio nakufuru ?
thanks