Mauaji Nigeria

Mauaji Nigeria

Una nondo kweli kweli, na huyo Alah akujaaalie kuwa bikra huko peponi na upate janamume mujahdin la Nigeria shababi kweli kweli
Ulivyoandika tu unaonesha umeandika kwa chuki kubwa sana. Huo ni ujinga tu,hakuna zaidi.

Nakuuuliza swali, Yesu alikuwa dini gani?
 
Hao waliofanya mauaji ni wahalifu tu, hakuna dini inayohalalisha binadamu kuchomwa moto akiwa hai.
Naam, hilo wala halina ubishi. Hao na Hitler ambae alikuwa mkatoliki, hawa tofauti. Au yule askari wa juzi aliyemuua Mtanzania Marekani, wana tofauti ipi?

Hao na "Anti balaka" wana tofauti ipi?
 
Kwa hiyo watakabidhiwa mabikra wao 72 kila mmoja ili wacheze nao pembeni ya vijito vya maji matamu?Hawana akili.

Mkuu hvi huo mchongo kuwa ndgu zetu wameandaliwa mabikira 72 ni real upo kwenye maandiko yao..!???

Na ni bikira 72 kwa kila kichwa.!?...

Kama ni hivo basi hio Dini ina Maunono sana hapo baadae..
 
Tena Waislam usichezee wala kutoa maneno machafu (matusi)kabisa kwa Mitume yao na kuwakejeli, unajitafutia uhasama mwenyewe. Utatafuta pakutokea, labda ujifiche nyuma ya mtandao tu, kuna ambao wakikujuwa, unalo.
So Kwanini mnakosa hekma?je mungu wenu ndivo anavyo wafunza kubehave?
 
Mkuu hvi huo mchongo kuwa ndgu zetu wameandaliwa mabikira 72 ni real upo kwenye maandiko yao..!???

Na ni bikira 72 kwa kila kichwa.!?...

Kama ni hivo basi hio Dini ina Maunono sana hapo baadae..
Uongo mtupu.Kama kweli utaishi kwa kufuata amri za Mungu halafu ufariki,itwezekanaje huyohuyo Mungu akuandalie ngono na starehe za hovyo?
 
Tena Waislam usichezee wala kutoa maneno machafu (matusi)kabisa kwa Mitume yao na kuwakejeli, unajitafutia uhasama mwenyewe. Utatafuta pakutokea, labda ujifiche nyuma ya mtandao tu, kuna ambao wakikujuwa, unalo.
Bint alikuwa anasisitiza groups liwe la kimasomo zaidi, wapuuzi wale wakitaka liwe na chombezo za kidini, nimeumia sana kwa #DUMBNESS ya hao wapuuzi it's a shameful acts. Praise#killer#satan#idea!
 
Alikuwa Myahudi
Huna unaloliewa. Kipimo kidogo sana umejionesha jinsi ulivyo finyu. Kama huamini kuwa u poyoyo, weka ushahidi wako.

Kwa kukujza tu,hakuna taifa wala dini iliyoitwa "Wayahudi" wakati wa Yesu.
 
Waafrika kwa kweli hata Mungu anatushangaa kwa ujinga tulionao......tunashabikia masuala ya Mohammed wakati hakuwa mtume kweli, alijipachika yeye mwenyewe kwa matakwa yake. Mtu akihoji eti anauliwa, unaua mtu (mwafrika mwenzako) kwa kupinga usanii?
Wewe kama huamini alikuwa Mtume Kweli, tupo Waislaam billioni mbili leo hii tunaoamini alikuwa mtume kweli. Tatizo lako nini?

Kama kuna Mwafrika juha basi wewe ni kiongozi wao.
 
Bint alikuwa anasisitiza groups liwe la kimasomo zaidi, wapuuzi wale wakitaka liwe na chombezo za kidini, nimeumia sana kwa #DUMBNESS ya hao wapuuzi it's a shameful acts. Praise#killer#satan#idea!
Uongo tu. Weka ushahidi wa uyasemayo.
 
Uongo tu. Weka ushahidi wa uyasemayo.
Dah, kuna mengi mno siwezi yaweka hapa.

IMG_20220515_132119_075.jpg


IMG_20220515_132151_604.jpg
 
Mwanafunzi wa kike Debora Samuel (baadhi ya taarifa kaitwa Debora Yakubu) wa chuo cha elimu cha Shehu Shagari kilichopo Sokoto state nchini Nigeria ameuwawa na wanafunzi wenzake kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto. Wanafunzi hao waliotekeleza mauaji walimtuhumu hayati kwa kitendo cha kumdhihaki/kumkejeli mtume kupitia voice message aliyotuma kwenye group la WhatsApp akiwazuia wenzake kutuma taarifa za dini kwenye group lililotengenezwa kwa ajili ya maswala ya kozi wanayosomea tu.

Baadhi ya picha za tukio ikiwemo ya kijana akionyesha kiberiti alichotumia kuwasha moto kuchoma mwili wa Debora pamoja na picha inayoonyesha maneno ambayo Debora alitamka kwenye hiyo voice message hizo apo.View attachment 2223080View attachment 2223079View attachment 2223082View attachment 2223081
Yaani Mtume Mudy ana raha sana, huko alipo anafahidi Mabikira 72 na mifereji inayotiririsha mvinyo halafu huku duniani anapiganiwa.

Mtume anapiganiwa sana sio na Waarabu tu

TAKIBIIIIR.....!
 
Ukitizama picha za hao waliofanya hilo tukio ni watu flani primitive, hawana exposure yaan wamefungiwa sehemu moja na kujazwa ujinga wa dini, na kwakuwa Wana sifa tajwa hapo juu hata uwezo wa ku reason wanachofundishwa hawana.
 
Back
Top Bottom