FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Tofautisha Waislam na Uislam.Nini maana ya mahakama ya kadhi kuwepo na ni yapi majukumu ya kadhi na uwajibikaji wake. Je ni sahihi baadhi ya waislam kujichukulia shalia mkononi bila udhibitisho na hukumu toka kwa kadhi maana sote twajua kadhi ndio anae toa hukumu kwa mujibu wa shalia za kiislamu na taratibu za mahakama ya kadhi.
