Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Nijuavyo mimi watu wote wanaofanya kazi nyeti hawaruhusiwi hata kutumia private PC kwa shughuli za kikazi... Afu watu wanakuja na cheap explanation eti siri za kazini...Kazi zenye usiri uwa zinaishia ofisini. Acha kuwadanganya wake zenu.

Nimeipenda sana hii. Yaani siri za kazini ziwekwe ama zipitie kwenye simu binafsi? Maajabu ya mwaka haya.
 
sioni sababu ya kupokea simu au kusoma smses kwenye simu ya mume wangu, siyo sababu najua nitakutana na madudu. Imagine mtu una 200 kwenye simu, unataka kumpa mtu ujumbe kwa kifupi kabisa (eg. nimefanikiwa, nashukuru sana), unakutana na mke wake. kwanza unatakiwa kumsalimu, then ujitambulishe, kabla hujasema ulichotaka kusema airtime imeshaisha....... kwa hiyoo kupiga kwake koooote simu, hajafanikiwa kutoa ujumbe aliokusudia.
 
Kinachovunja mahusiano sio simu wala msg. Kinachovunja mahusiano ni kukosa uaminifu na kukosa staha. Simu ni kama tool tu ya kuvumbua yafanyikayo kwa siri.

Sijui kwa nini nimekupenda ghafla tu...............lol.....😛eep:
 
there is no hard and fast rule on this phone thing, ni couples wenyewe kukubaliana utaratibu ambao utakuwa muafaka kwao kuufuata
 
Dr@riwa,
bado hujaniconvince, ukiwa dokta sitoshangaa msg za namna hiyo, ukiwa mfanyabiashara sitashtuka hata ukiwa mfanyakazi nikakuta ,msg kuulizia report sitoshtuka, mpaka tumeoana na kuishi miaka kadhaa ina maana mume na mke wanajuana vyema, kuanzia tabia mpaka kazi na madili ya mjini hakuna sababu za kuficha, hata ukiwa na mume/mke injinia wa minara unajua simuzaq usiku wa manane ni kawaida, hakuna haja ya usiri.....

Pakiwa na usiri tu shtukaaaa




Kwa mfano...I am a Dr...kama we ni mke wangu, ukishika simu yangu utapata kichaa! Kuna lots texts/emails/chats ambazo clients/ndugu/rafiki wananitumia kwa ajili ya ushauri...na ni issues mbali mbali very personal watu wananitumia na nashauriana nao. Mfano - unafungua simu yangu unakuta chat history na 'mdada' anayenuiuliza madhara ya 'anal sex' sababu she enjoyed it (huu ni mfano wa kweli)...tell me, ungereact vipi??

Hiyo yaweza tokea kwa mwanaume/mwanamke yeyote wa fani nyingine yeyote, haimaanishi ana 'affair', lakini mziki wake waweza vunja penzi.

Wiki iliyopita tu kuna mtu amemuua mwanaume mwenzake huko Mara kisa amakuta ujumbe wa simu kwa mkewe akimuuliza 'mbona hatukuonana nikupe unipe ule mzigo'...yeye na mkewe wote ni wafanyabiashara...sasa bila ya kujua mzigo gani unaua, unafungwa maisha...hasingeshika simu ya mkewe yangetokea wapi hayo?
 
Umeona eeh

Yani mtu aogope bahati mbaya..."bahati mbaya message ikikosea njia". Kweli mume au mkeo anayekufahamu vizuri atashindwa kukuelewa ukisema alotuma message humjuhi??

Na kama mmnajuana na mnatumiana message za hajabu ni tabia mbaya. Hata kama mtu ni daktari haina maana kuwa ukiwa home wadada watume message za kichokozi...asojua nani kuwa madoctor wengi wanategwa na wagonjwa wa kike na ndio maana hawajatulia. Unalipwa kufanya online consultation???

Dr@riwa,
bado hujaniconvince, ukiwa dokta sitoshangaa msg za namna hiyo, ukiwa mfanyabiashara sitashtuka hata ukiwa mfanyakazi nikakuta ,msg kuulizia report sitoshtuka, mpaka tumeoana na kuishi miaka kadhaa ina maana mume na mke wanajuana vyema, kuanzia tabia mpaka kazi na madili ya mjini hakuna sababu za kuficha, hata ukiwa na mume/mke injinia wa minara unajua simuzaq usiku wa manane ni kawaida, hakuna haja ya usiri.....

Pakiwa na usiri tu shtukaaaa
 
Simu yangu mpenzi wangu hagusi hata siku moja kama vile ambavyo yake sishughuliki nayo.
Mada inazungumzia Mke/Mume na sio Mpenzi. Ukioa ndio utajua kama una uhuru kiasi hicho au la
 
Hakuna kitu kitakachobadilika hata akiwa mke.
So Mke/Mume na Girlfriend/Boyfriend wana status sawa? If you think so ni afadhali usioe Mkuu, huku kuna mambo ya ajabu sipime. Wanaposema unaposema 50% wanauwa wanazungumzia vitu kama hivyo
 
Kama ulimtaja jina unaandika meseji hii: Au umeshangaa nimetumia hilo jina? Hizi tamthilia bana, dah! Asha ni yule demu mkali kwenye tamsilia ya hidden passion! nimekufananisha naye honey, au hupendi? samahani kama nimekukwaza...

sikujua hujaacha hii tabia yako ya utapeli wa mapenzi na tena umepanda cheo hadi unafundisha watu ukikua ukue na hekima jamani lo mtoto huyu
 
sikujua hujaacha hii tabia yako ya utapeli wa mapenzi na tena umepanda cheo hadi unafundisha watu ukikua ukue na hekima jamani lo mtoto huyu
Khaa! Huu mthread wa 2010 umefufuliwa? Haya telitaibi hebu nipe ID yako ya zamani ili twende sawa. NiPM tafazali
 
Last edited by a moderator:
kumbe swala la uzinzi na uasherati katika ndoa si ajabu tena kila 1 anasaidia namana ya kuboresha kosa lo jamani na huo mwisho wa dunia usikawie sana kwani mambo haramu mangapi yatakuwa halali
 
hey mya frnd pole sana kwa yaliyo kupata ila uyo x wako c wakuwasiliana nae tena coz anakusanifu tu;
 
duh lakn kuna faida na hasara ktka relatn kushika sm ya mwenza wako coz ckuiz amna mapenz ni kudanganyana tu unakuta mwanaume anawanawake wawili watatu na mwanke anawanaume wawl watatu xo kuenda na maisha ya sasa yanvyokwenda lkn ukisema ujaj utashindwa kuwa kwny mausiano.
 
Kwenye sim najitahidi kuweka muongozo na msimamo, ila mjanja lake tundu bovu niliwahi kukutwa na Bunduki mpyaaaa (kondom) nilitamani zigeuke pakti za majani ya chai.. ilibidi nigeuke ofisa wa PSI ili somo lieleweke kwa mbinde
 
Aisee hiyo kitu inaboa sana.....dawa ni kumjibu huyo jamaa yake aliyekupigia simu majibu ya kumuudhi! na then kumkatia simu kabla hajakujibu chochote!
 
Mods woote nashukuru saana kulifanyia kazi ombi langu la kuunganisha hizi threads za simu na mahusiano! Hapa sasa pamekuwa library mtu akitaka kujua yalojiri basi asome hii. Roulette nifikishie salam kwa Paw, Invisible, Meezy, Fang, Meezy, PainKiller na woote nisiowataja kwa sababu maalum. Cheers.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom