Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Mimi mchango wangu ni kuwa;
Nahisi mbinu za kujiosha kwenye usaliti wa mahusiano hazitatusaidia sana, ni sawa kumfundisha mtu mbinu za kuishi na ugonjwa wa Malaria Badala ya kumuelekeza Hospitali akatibiwe.
Sasa hivi, hali ya uchumi iko tight, watu wanafight mchana na usiku " umeoa bado unaenda kuhonga small house" unaonaje..... ukajaribu kuongea na mwenzako akajua hicho unacho kikosa kwake?
Utakuta mtu ameoa na amepanga kwa wanaume wenzake wala haimpi kero...anakimbizana mtaani na vimobitel tutafika?
Heshimu mahusiano, heshimu ndoa yako, mshirikishe mwenzako; utakuwa na amani nyumbani na utajikuta unaishi kwenye nyumba yako na gari lako kama wengine!!!!!!!!!
kama ulituma meseji kama hiyo kwa mkeo/mpenzi wako; mpigie magoti na mwambie nimekukosea mpenzi wangu na nakuahidi sitarudia tena ...na kama ni mara ya kwanza atakusamehe...ILA usirudie tena!!!!!!!!!!
 
Ningekuwa mie ningejifanya alikuwa mlengwa na mkuxudiwa namba moja na muhusika kabisaa wa hiyo ki2
 
Kama ulimtaja jina unaandika meseji hii: Au umeshangaa nimetumia hilo jina? Hizi tamthilia bana, dah! Asha ni yule demu mkali kwenye tamsilia ya hidden passion! nimekufananisha naye honey, au hupendi? samahani kama nimekukwaza...
MMMMMMMMH kumbe wanaume ndo mlivyo lo hadanganyiki m2 hapa
 
Mimi demu wangu kila siku anafuta sms zote na call log kasoro za kwangu tu nilizo mpigia au kumtumia sms

Kibaya zaidi ukiseti sms counter to 0 akirudi unakuta amepoke sms kama 10+ hivi na kutuma 10+

Ukidadisi kijanja anajibu mimi hata sijuani na watu, nani sasa atanitumi sms?

Nahisi kuibiwa hapa
 
duh! wanaume ni waongo sana! akifanya kosa tu utamjua.
 
Simu ndo kila kitu ukitaka kumjua mpenzi wako au mumeo na kuharibu siku siku we pekenyua simu yake
mi mpenzi wangu simu yake kaiweka antthief,security code na bla bla nyingine
so siishiki maana niiishika ni king'ora kinalia kwa kwenda mbele
am happy na ya kwangu hivyohivyo
so we are happy together
life goes on
kwa sababu before tulikuwa ugomvi hauishi kila siku bt now amani ipo
kama una moyo kama wa kwangu naomba uipractice hii kitu uone kama ugomvi wa mara kwa mara utakuwepo
 
Tuliozaliwa 70s-80s tunalo maana technology hii ya mawasiliano imepea sana kipind tupo ktk kutafuta wenza au mwanzo wa mahusiano/ndoa-kila kitu kipya kina reward/adhabu zake-hawa wa 90s and above bila shaka wataenjoy uhusiano.
 
muda huo huo namwambia asirudi nyumbani na talaka yake aisubirie kwao, shiti.
 
mimi iliwahi kunitokea, ila sms haikuwa mbaya nilimwandikia rafiki wangu wa kike nikasahau nikaituma kwa mpenzi wangu, uzuri mwanzoni nilianza na neno sweety, so alivyosoma akajua ni ya kwake, ila sasa nilichokiandika alikuwa hakijui ilibidi aniulize nikamwelezea vizuri, niliona nikimwambia nimekosea asingeamini kwamba nilikuwa namtumia rafiki wa kike angefikiria kumbe sweety wako wengi. Mtoto wa kike nilimwelezea mpaka akanitumia na laki mbili kuhusiana na hiyo issue.
 
mi pia nashndwa muelewa my boyfriend,tukiwa wote anapenda zima simu na anapenda kagua yangu yani,lakini hua simkatalii,na akiwasha tuu anakua nayo busy kweli yan full kupiga na kupigiwa,tisa kumi tukiwa apart kila nikimcol mara nying anakata afu atatumatext wait,hapo ntasubiria mpaka basi,na anaweza asipige mpaka nipige,usiku tukiwa twaongea ananambia subiri ntakupgia,nikimuliza nani unaongea nae anasema mdg wake wa kiume,ndo kisingizio yani,au anaeza semani ndugu yake,haitoshi akisafiri hatumi msg mpaka nimtumie na anaweza asijibu,akisha fika aendako hasemi mpaka nimuulize jamani na nikipiga simu ananiambia subiri hapo atapiga usiku sanma au laa nishtuke nimpigie sometimes inaboa sana inafikia kipindi mtu unazoea dharau
 
Simu ndo kila kitu ukitaka kumjua mpenzi wako au mumeo na kuharibu siku siku we pekenyua simu yake
mi mpenzi wangu simu yake kaiweka antthief,security code na bla bla nyingine
so siishiki maana niiishika ni king'ora kinalia kwa kwenda mbele
am happy na ya kwangu hivyohivyo
so we are happy together
life goes on
kwa sababu before tulikuwa ugomvi hauishi kila siku bt now amani ipo
kama una moyo kama wa kwangu naomba uipractice hii kitu uone kama ugomvi wa mara kwa mara utakuwepo

mi kila siku ningekamatwa kwa wizi meeeeen
 
to be honest with myself ... simu yake nitaishika siku zote kama anataka au hataki (akikataa nitaiba). Bora tu akubali niwe naishika... yangu nimemruhusu aishike any time hata akitaka kukaaa nayo ni yeye tu lol (but asiharibu ishu za kazi mfano huyo aliemnyang'anya mwenzie for two days kama ni working days si kuharibiana kazi huko).

Nachokiamini mimi mtu akikataa mwenzi wake asisishike simu yake lazima kuna jambo.. kama unajiamini hauna lolote baya dhidi ya mahusiano yenu una wasiwasi gani? uki ni gomeaaa tu nitamulika mwiziiii balaaaaa... ntakodi na security guys Kwii kwiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Jamani, mi wangu haninyimi simu yake ila nikiipekuwa sikuti msg hata nilizotuma mwenyewe, kwa kweli huyu ni professional phon user.
 
Naomba kuuliza hapa kwa jukwaa la mapenzi ningeenda la sheria lakini ningependa la mapenzi zaidi kwa kuanzia. Kama umeoa au kuolewa na katika mahusiano yenu mwenzio anaanza tabia kukuchunguza kiasi cha kwenda kuhonga mtu kampuni ya simu anaprintiwa(print) message zako zote anajichimbia anazisoma then anaanza kukushoot mbaya. Naomba ushauri wa kina je nimshtaki au aliemfanikisha? kisheria ni kosa au ni kawaida? Hapakuwa na ugomvi kati yetu wala lolote kaamua tu then katimiza sasa ndani timbwili, kisa kusoma msg hata asizozielewa lakini anatafsiri ajuavyo! Wanajf great thinkers naombeni msaada kwa hili kabla sijahamishia jukwaa la sheria nipate maoni ya kisheria pia. Naamini msaada wenu
 
Back
Top Bottom