Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
dr. mume na mke siri za nini?
kwa nini kuwe na siri kati yenu?
hata mie nashangaa hizi siri za kutotaka mke/mume azijue...
kama anaona "sehemu zako za siri"
password ya atm, mpesa, tigo pesa, mnashare, hakuna ambacho mnafichana..... then simu inakuwa na siri...mmmmmmmh nashangaaa mie
Kwa mfano...I am a Dr...kama we ni mke wangu, ukishika simu yangu utapata kichaa! Kuna lots texts/emails/chats ambazo clients/ndugu/rafiki wananitumia kwa ajili ya ushauri...na ni issues mbali mbali very personal watu wananitumia na nashauriana nao. Mfano - unafungua simu yangu unakuta chat history na 'mdada' anayenuiuliza madhara ya 'anal sex' sababu she enjoyed it (huu ni mfano wa kweli)...tell me, ungereact vipi??
Hiyo yaweza tokea kwa mwanaume/mwanamke yeyote wa fani nyingine yeyote, haimaanishi ana 'affair', lakini mziki wake waweza vunja penzi.
Wiki iliyopita tu kuna mtu amemuua mwanaume mwenzake huko Mara kisa amakuta ujumbe wa simu kwa mkewe akimuuliza 'mbona hatukuonana nikupe unipe ule mzigo'...yeye na mkewe wote ni wafanyabiashara...sasa bila ya kujua mzigo gani unaua, unafungwa maisha...hasingeshika simu ya mkewe yangetokea wapi hayo?