Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Ni nini kinamfanya mtu afanye yote haya?Kama humuamini kwanini mlioana?
 
Sasa huyo mmh hivi unajua kama mtu sio mwaminifu siku zote huwa anamuwazia mabaya mwenzie

Nimekosa hata la kusema ngoja kwanza nimalizie kahawa nipate ushauri
 
uaminifu haupo hapo!in short hakuamini na huenda amepata mpango wa kando!!
 
Mke na mme mnakuwa mwili mmoja siku ya kufunga pingu za maisha. Sasa msg za siri zina nafasi gani hapo.
 
hakuna kuaminiana hapo...binafsi simu yangu ni private,s
she dont have to access anything from it....
 
Amekushtukia zile tabia zako,ni mbaya sana na hapa hujaliwakilisha vizuri iliyopelekea huyo kufanya hivyo ukimshitaki utaumbuka ndugu yngu we tulia kimya maana kweli umeyafanya hayo na kweli umekamatwa kwani ni uongo ?acheni kucheat ni mbaya sana mimi nilifanya huo umfia na niliwafungisha mdomo wanafki niliwatoa jasho jembambaaaaaaaaaaa mawasiliano yao yote ya simu na imail nikaprint nakuweka kwenye kikao .mpaka leo ni heshima kuu
 
hapo.....
1. Je wewe ni mwaminifu? Huna visomething?
2. Je mwenzio anavisomething ndo maana hakuamini
3 mwenzio hajiamini.......hapa ndo pagumu pabaya....

Unaweza ukaongea nae, mwambie hupendi tabia yake ajirekebishe na mpe warning......

Au mmwage ....kama hajiamini watu wa namna hii atakusumbua sana, mwisho utaanza kuchaguliwa marafiki
 
Amekushtukia zile tabia zako,ni mbaya sana na hapa hujaliwakilisha vizuri iliyopelekea huyo kufanya hivyo ukimshitaki utaumbuka ndugu yngu we tulia kimya maana kweli umeyafanya hayo na kweli umekamatwa kwani ni uongo ?acheni kucheat ni mbaya sana mimi nilifanya huo umfia na niliwafungisha mdomo wanafki niliwatoa jasho jembambaaaaaaaaaaa mawasiliano yao yote ya simu na imail nikaprint nakuweka kwenye kikao .mpaka leo ni heshima kuu

ndoa ni kukomoana? au kuaibishana? nadhani ni hiari so inabidi mmoja akiona anabezwa afaye homework ajue hasa kisa ni nini? may be yeye ndo tatizo? Je anatiiza yote yampasayo km mume/mke? Ok ameshaona na mimi nkasema basi uhusiano wangu na wewe basi nani kashika makali? mwanaume mwanamke? who is going to suffer more? who is going back home even if there is no home? so sikubaliani nawewe sijui vikao sijui kuabishan no no
 
hapo.....
1. Je wewe ni mwaminifu? Huna visomething?
2. Je mwenzio anavisomething ndo maana hakuamini
3 mwenzio hajiamini.......hapa ndo pagumu pabaya....

Unaweza ukaongea nae, mwambie hupendi tabia yake ajirekebishe na mpe warning......

Au mmwage ....kama hajiamini watu wa namna hii atakusumbua sana, mwisho utaanza kuchaguliwa marafiki

hapo mbona since tumeoana? had leo anapiga sana domo kuhusu marafiki zangu hata nliokua nao utotoni, kanisms dada mmoja tulikuliaa mtaa mmoja hadi namaliza frm six kunihabarisha anafunga ndoa anaomba mchango pia anaamini sana ninaweza msaidia kuongoza vikao vya party, weeeh ulikuwa mzozo funika, hataki ati kapata wapi namba yangu na ni siku nyingi hatujaonana. Kweli ilinibidi nikapige tu kilaji nkalala, na ile sendoff niliisimamia mwanzo mwisho. Ifike mahali mke/mume asiwe dictator, nahisi ndo maisha yanaweza enda straight
 
ndoa ni kukomoana? au kuaibishana? nadhani ni hiari so inabidi mmoja akiona anabezwa afaye homework ajue hasa kisa ni nini? may be yeye ndo tatizo? Je anatiiza yote yampasayo km mume/mke? Ok ameshaona na mimi nkasema basi uhusiano wangu na wewe basi nani kashika makali? mwanaume mwanamke? who is going to suffer more? who is going back home even if there is no home? so sikubaliani nawewe sijui vikao sijui kuabishan no no
siunaona sasa umefunguka kumbe ulishatoa na conclusion then unakuja kutupa mabaki hapa jf ,she will surferif she havent independent spirit but yet ua the one destroy the family peace .nakuhurumia sana ndugu yangu hutafika mbali kwa kweli pole sana ,hamna kitu kibaya kama mabavu katika maisha sit down with your dear wife talk the fact achana na vichenchede ,hapa duniani hatuishi milele we just pass no time to waste by being unhappy ,kama una watoto unawaharibu kabisa furaha ya mama ni furaha ya watoto ,sijui nikuambiaje,ninauhakika una mambo mengi yaliyopelekea huyo mdada kufanya hivyo,solve wenyewe sina ushauri zaidi ya huo all the best
 
Yaani sijui kama mtafika.

Pole sana mkuu. Katika mapenzi/mahusiano likianza jambo hilo, pana hatari. It is delicate and very embarracing. Mkuu qfsonwin, please you wisdom is needed. In fact, inudhi na kukera sana. Mimi mwenyewe simu y mke wangu naiona kama mkamwana, yaani mkazamwana (mkwe) kwa kinyakyusa na kisambaa.
 
siunaona sasa umefunguka kumbe ulishatoa na conclusion then unakuja kutupa mabaki hapa jf ,she will surferif she havent independent spirit but yet ua the one destroy the family peace .nakuhurumia sana ndugu yangu hutafika mbali kwa kweli pole sana ,hamna kitu kibaya kama mabavu katika maisha sit down with your dear wife talk the fact achana na vichenchede ,hapa duniani hatuishi milele we just pass no time to waste by being unhappy ,kama una watoto unawaharibu kabisa furaha ya mama ni furaha ya watoto ,sijui nikuambiaje,ninauhakika una mambo mengi yaliyopelekea huyo mdada kufanya hivyo,solve wenyewe sina ushauri zaidi ya huo all the best
utakkuwa mwanamke we Nivea, ila ni hivi mwanamke anao uwezo mkubwa kumchange mume wake whatever atavyokuwa, inakuwa tabu pale prcess ya kumchange inakuwa km wewe navyohisi waweza go abt it. Mwanamke km kweli anataka apendwe yeye na yeye tu lazma kwanza awe humble no mattter mme ni biter kiasi gani. Ndo sababu wazee wetu hawakuwapa kabisa nafasi wanawake sababu ya mouth mouth big big( sory am not insulting but huu ndo ukweli), mnachonga sana hata raha sasa ndani inakuwa haipooo! Sasa mkishaharibu tena haaya uaanza kutafuta mchawi ooh sijui msg zangu, marafiki yanini yote hayo? Ujue nwananmke akishaolewa anarelax na kunyoosha miguu hata majukumu yake anayasahau, mume akioa ndo kwaanza kumekucha kila kitu over his shoulder! agrrrr i have 11yrs in marriage jamani msidhani mi ni kavulana
 
Pole sana mkuu. Katika mapenzi/mahusiano likianza jambo hilo, pana hatari. It is delicate and very embarracing. Mkuu qfsonwin, please you wisdom is needed. In fact, inudhi na kukera sana. Mimi mwenyewe simu y mke wangu naiona kama mkamwana, yaani mkazamwana (mkwe) kwa kinyakyusa na kisambaa.

i have never touched her phone as kwani natafuta nini humo? thx mwalafyale
 
Hivi jaman wadau kuna ulazima wowote wapenzi au wanandoa kukaguliana simu?

Kwanini wengne huwa wanapenda kukagua simu za wapenzi wao lakini za kwao wakali kweli hawataki hata uguse?
 
Kama mmeoana, wanasemaga mmekuwa mwili mmoja, sasa hapo kuna haja gani kufichiana simu, ni kuwa wawazi yaani maisha yanakuwa burudani mustarehe. Yaani inashangaza unamwachia mpenzi wako mwili wako wote auchezee anavyotaka halafu unamficha simu. mmmmh hata aingii akilini
 
Back
Top Bottom