Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Inategemeana kama mwenzi wako ni rafiki yako naamini all protected, private and public u deserve to know them! hivyo ukishika si mbaya! lakini kama just uhusiano wa mke/mpenzi huna haki hiyo kwani hata public kwako unaweza usijue since wewe si rafiki yake!!!
 
hivi jaman wadau kuna ulazima wowote wapenzi au wanandoa kukaguliana simu??na kwnn wengne huwa wanapenda kukagua cm za wapenzi wao lkn za kwao wakali kweli hawataki ht uguse

unajua kwa sisi wanaume huwa tuna connection nyingi hasa za kifedha hivyo cm yangu si busara sana kwa mwenzangu aiguse ila ya kwake nitaigusa kama hafanyi kazi!!!!
kama anafanya kazi siigusi
:yo:
 
unajua kwa sisi wanaume huwa tuna connection nyingi hasa za kifedha hivyo cm yangu si busara sana kwa mwenzangu aiguse ila ya kwake nitaigusa kama hafanyi kazi!!!!
kama anafanya kazi siigusi
:yo:

Hapo unakosea, tena sana. Kwa nini ukague simu ya mwenzako pasipo kuruhusiwa.? Mwanamme anayefanya hivi kwangu mimi naona ana matatizo tena makubwa sana na hajiamini. Kama issue ni kuchunguza nyendo za mwenza wako, kuna njia nyingi za kutumia kutambua nyendo zake pasipo yeye kutambua than hiyo ya kukagua simu. Unakuta mwingine amekaa na mpenzi/mkewe mara simu ya mkewe inaita yeye anakuwa wa kwanza kuikimbilia simu ya mkewe na kuipokea utadhani simu ni yake vile ama amepigiwa yeye.

Kiujumla si vyema issue za kukaguana simu pasipo wewe kupewa na muhusika ruhusa. Kama mume/mpenzi inatakiwa uwe more than smart in your moves. Niliyoandika hapa ni 2 sided scenario na yanaaply kwa upande wa wanawake pia.
 
Hivi jaman wadau kuna ulazima wowote wapenzi au wanandoa kukaguliana simu?

Kwanini wengne huwa wanapenda kukagua simu za wapenzi wao lakini za kwao wakali kweli hawataki hata uguse?

Inferiority complex and insecurity
 
Hivi jaman wadau kuna ulazima wowote wapenzi au wanandoa kukaguliana simu?

Kwanini wengne huwa wanapenda kukagua simu za wapenzi wao lakini za kwao wakali kweli hawataki hata uguse?
unaposema neno kukagua, ina maana humuamini mwenzio, so unatafuta makosa ili mgombane.
 
Kama kwa mwali kwaliwa na kwa kungwi kuliwe

Ukipenda kugusa sim ya mwenza wako basi na wewe ukubali yako iguswe.....

Mimi sioni tatizo kabisa hapo kwenye kuliwa huku na huku hakuna cha peke yako aisee sasa unakagua nini manake kama ni mkeo kubanjuliwa atabanjuliwa tuuuuuu tatizo kukubali ukweli
 
Mimi sioni tatizo kabisa hapo kwenye kuliwa huku na huku hakuna cha peke yako aisee sasa unakagua nini manake kama ni mkeo kubanjuliwa atabanjuliwa tuuuuuu tatizo kukubali ukweli

hahaaa...hapo kwenye kuukubali ukweli sasa.......
 
Ati mkifunga ndoa mnakuwa mwili mmoja, sawa basi ila mwili mmoja wenye vichwa viwili. Ukitaka uhusiano wenu uendelee kuwa na amani ni vema na busara ukaachana na tabia ya kukagua simu ya mwenzi wako kwani unaweza kuzua tafrani kwa sababu za kufikirika. Ukamfanya mwenzi wako nae akuone kuwa huna imani naye, hivyo naye akakosa imani na wewe.
 
Nikague simu ya mwenza na haya mapicha yenu ya WhatsApp ..si naweza kufa kwa kihoro
 
i think ni maelewano kati yako na huyo mwenzako kama hamkua mnakaguliana toka zaman ni vigumu kuanza from no where siwezi coment on t mimi na wangu 2nakaguliana whats maater uaminifu haoni shida nami sioni shida kushinda na simu yake nae yangu.
 
Back
Top Bottom