Matumizi ya neno "UCHOCHEZI" ni namna dhaifu sana ya kuikataa demokrasia na uhuru wa kukosoa

Kichwamoto

JF-Expert Member
Jan 21, 2019
3,353
4,535
Katika nchi dhaifu za Kiafrika na hasa ambazo watawala wake ni mamluki wa mabeberu ni utamaduni kwao neno UCHOCHEZI kutumika kufifisha ukosoaji na kukimbia uwajibikaji wa kushindwa kutatua kero au kukithiri kwa Uonevu katika jamii za nchi za Kiafrika.

Ipo haja ya nchi za Kiafrika zijitathmini namna yao ya uelewa mbovu na matumizi potofu ya neno UCHOCHEZI.

Kuhimili ukosoaji ni kipimo cha akili imara, stahimilivu, komavu, na inayotambua wajibu wake wa kukubali kusifiwa na kukosolewa.

Ni hayo tu

Kichwamoto
 
Mchengerwa nae anakemea demokrasia anajua au kuogopa kutumbua kitajaa mchanga
Serikali familia mkwe hana mtoto mkubwa wa kiume Kwa hio kamsajili mkwe ndio awe first born son wa familia kupata saikolojiko guard
 
Back
Top Bottom