Ila ile ya vichwa vya tren mlitengeneza bonge la movie.Sasa umesema nini. Kuingiza hoja za kijinga tu. Home of great thinkers my foot. So stupid. Mnaonekana kabisa sasa mbinu za kijinga. Kwani Lissu unayemshabikia kafanya nini singida. Watu mkitumwa ongeza na akili zako
Unaonaje ukienda polisi ukatoa maelezo hayo ??.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao
Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara
Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu
Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.
Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha
Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini
Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO
HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII
*JONATHANA KWEPE*
Eti ulimsikia akiongea na mtu mwenye sauti ya kike! Huu uongo mwingine haufai. Yaani mtu unasema alikuwa anajificha halafu aongee kwa loud speaker apange makutano. Danganya wajinga wenzio. Yaani alishindwa kuwasiliana naye kwa njia ambayo watu wenye masikio marefu kama wewe wasisikie?.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao
Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara
Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu
Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.
Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha
Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini
Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO
HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII
*JONATHANA KWEPE*
Hawezi kwenda kwasababu anajua kasema uongo.Unaonaje ukienda polisi ukatoa maelezo hayo ??
Adi watu ndani ya basi wakakaa attention kumckilizaEti ulimsikia akiongea na mtu mwenye sauti ya kike! Huu uongo mwingine haufai. Yaani mtu unasema alikuwa anajificha halafu aongee kwa loud speaker apange makutano. Danganya wajinga wenzio. Yaani alishindwa kuwasiliana naye kwa njia ambayo watu wenye masikio marefu kama wewe wasisikie?


Ujenzi wa flyover, no zaidi ya tukio LA kutengeneza, kuzindua hospitali ambao haina wauguzi na facilities nyingine pia tukio LA kutengenezaNaanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.
Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.
Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.
Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Huyu jamaa amezidi kulamba viatu. Mtu sober hawezi kuandika haya aliyoyaandika. Au anadhani zawadi imetangazwa ili ajaribu bahati yakeAdi watu ndani ya basi wakakaa attention kumckiliza![]()

Yule kijana wa nyufa za hosteli kiki yake imebuma au hana nyotaMatukio ya kutengeneza:
1.Magufuli kusema vichwa vya treni havina mmiliki kumbe ni vya serikali!
2. Sakata la acacia na makinikia.
3.....


Kwahiyo cku hizi kama hujafanya kitu kwenu ndio unastahiri kufa ???? Ww umefanya nn kwenu mbona bado uko hai ebu jikiteni kwenye mada acheni kutuchanganyia mafile hapaSasa umesema nini. Kuingiza hoja za kijinga tu. Home of great thinkers my foot. So stupid. Mnaonekana kabisa sasa mbinu za kijinga. Kwani Lissu unayemshabikia kafanya nini singida. Watu mkitumwa ongeza na akili zako
Just because umeanza kupatwa na mashaka doesn't mean you're right. And in fact, even if you were right, nobody cares



