Kwa kipindi kirefu jijini Mbeya tulipumzika kukumbwa na matukio ya kikatili kama ilivyozoeleka hapo nyuma, bila shaka tunakumbuka uchunaji wa ngozi na matukio mengine, jambo la kusikitisha ukatili huo umeibuka ghafla ambapo jana usiku watu 9 ktk eneo la Uyole wamepigwa nondo na kukatwa masikio.
Kuna jirani yangu ametoka kuangalia mpira nae ameuliwa na kukatwa masikio, inaonekana kuna imani za kishirikina, jeshi la polisi lifanye kazi yake kwani hali ni mbaya hata watoto wanaogopa kwenda shule mida ya asubuhi sana.
Kuna jirani yangu ametoka kuangalia mpira nae ameuliwa na kukatwa masikio, inaonekana kuna imani za kishirikina, jeshi la polisi lifanye kazi yake kwani hali ni mbaya hata watoto wanaogopa kwenda shule mida ya asubuhi sana.