Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Mama Zakia Megji, alikuwa na kaskendo ketu kaleeee ka kuhusika na ufisadi na alipofunja na kuunda Baraza jipya la Mawaziri alimpiga chini, lakini cha ajabu kamteua tena kwenye kamati yake ya ushindi na kazi ya huyo mama ni mambo yaleyale ya mafweza, sasa sijuhi anamwaminia katiak kupiga bao hela za walipa kodi au basi tu