Mattaka the new NIC Director

Habari za zilizothibitishwa ila hazijatolewa rasmi na mhusika(Mattaka) zinasema kuwa ameachia ngazi ATCL na amemteua Mkurugenzi wa fedha bwana William Haji kukaimu hiyo nafasi

Naona kuna utata kwenye habari yako. Bw. Mattaka kama anasafiri au ana dharura nyingine basi anaweza kumteua mtu wa kukaimu. Lakini kwa mujibu wa habari yako ameachia ngazi; kama ameachia ngazi, basi ni jukumu la Bodi kuteua mtu wa kukaimu hiyo nafasi mpaka uteuzi wa MD utakapofanywa.
 
tetesi zinatetesa
Ilikuwa tetesi lakini sasa ni CONFIRMED.

Re-read:

MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Fedha na Uchumi, kupitia msemaji wake, Ingiahedi Mduma, Mattaka ni mmoja wa wajumbe watano wa bodi hiyo ambayo uteuzi wake ulifanywa na Waziri wa wizara hiyo Mustafa Mkulo.

Mattaka ni mmoja wa wajumbe wa timu iliyoteuliwa kulichunguza shirika hilo la bima, kabla ya kufanyiwa mabadiliko ambayo uteuzi wake katika timu hiyo ulizua maswali kutokana na kuliongoza ATCL iliyokuwa na matatizo lukuki yakiwemo ya kufungiwa kufanya safari zake,

Aidha, Rais Jakaya Kikwete alimteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Shirika hilo kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Aprili 21, 2009.

"Rais wa Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 21 aprili, 2009," ilisema sehemu ya tarifa hiyo.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa, Waziri wa Fedha na Uchumi alimteua Justine Mwandu kuwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NIC kuanzia Aprili Mosi, 2009.

Kabla ya uteuzi huo Mwandu alikuwa Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa Idara ya kusimamia shughuli za bima (ISD).

Wajumbe wengine wa bodi ya NIC mbali ya Mattaka ni Michael Mhando, Agnes Bukuku, Kate Bandawe na Charles Kilasile.

Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, bodi hiyo itafanya shughuli za usimamizi wa NIC pamoja na urekebishaji wa shirika hilo.


Source: Mwananchi Toleo la 12/5/2009
 
yeah they have come a long way....ila JK lazima ajuw kwamba anajiharibia, hata kama huyu mtu ni mtaaluma sana kwenye nyanja ile basi aangalie japo na taswira ya mtu huyu kwenye jamii..bila hivyo jamii haitamuelewa..hata kama ni fadhila kuna njia nyingi amabazo anaweza kumlipa kama ni kweli
 
The president of south Africa ?


This man is da bomb!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Number one
Sizakele Khumalo - whom he met in 1959. She lives at his rural R1,5-million home at
Nkandla in northern KwaZulu- Natal and they have no children.


Ex-wife
Foreign Affairs Minister Nkosazana Dlamini-Zuma - with whom he had four children -
Msholozi, 24, Gugu, 22, Thuli, 21 and Thuthi, 19. They divorced in June 1998 due to
"irreconcilable differences."


Late wife
Kate Zuma - with whom he had five children - Saady, 29, twins Duduzile and
Duduzane both 25, Phumzile, 20 and Vusi. She committed suicide on December 8, 2000
after apparent strained relations with Zuma.


Still on honeymoon
Nompumelelo Mantuli Zuma - whom he married in January. She has two children
Thandiswe, 7 and eight month old Sinquobile.


Waiting in the wings
Thobeka Stacey Mabhija - with whom he has two children including a 5 month old
baby


Mrs Jacob Zuma number six?
Bongi Ngema - from Umlazi, has a seven month old son


Old flame
Minah Shongwe - who is Zuma's old flame. Shongwe, the sister of Judge Jeremiah
Shongwe has a 30 year old son, Edward with Zuma.


Left at the altar
Zuma also paid half lobolo for Swazi Princess Sebentile Dlamini, 38, the
granddaughter of King Sobhuza III, in 2002 but nothing has come out of it.
4 Marriages, 1 Half Lobola, 3 sleeping partners and 15 Children...????? Check the
age differences between the children from different mothers, ya neh, UZuma wa
sebenziza um'shini wakhe.!!!!!

Hayi, lena ke inzima?..



NA MATAKA JE??


Sijui hii ilipotea njia au ndo mambo ya kumconnect Mataka!! Sijaielewa elewa hii...
 
MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).

Uandishi gani huu? kuteuliwa nafasi kumbe ni kuula? je akila kweli mtamlaumu?

 
yeah they have come a long way....ila JK lazima ajuw kwamba anajiharibia, hata kama huyu mtu ni mtaaluma sana kwenye nyanja ile basi aangalie japo na taswira ya mtu huyu kwenye jamii..bila hivyo jamii haitamuelewa..hata kama ni fadhila kuna njia nyingi amabazo anaweza kumlipa kama ni kweli

Wanafurahi kupeana vyeo, lakini wajue wanajenga chuki kubwa sana miongoni mwa jamii inayo wazunguka. Naogopa kufikiria hatima ya mtu mwenye hasira tena aliyepigika ki miaisha!
 
Nadhani hizi nazo ni tetesi tu kama za yeye kung'oka ATCL..



ur right men,jamani wanukulu kilichofanyika jamaa wamemchagua tu kuwa mjumbe mpya.....wa BODI ya NIC..ukiacha ule ulaji wa miezi 6 kuirudisha NIC ilipotokaa....kwa kula laki kila siku mpaka miezi 6 iishe sijui wanazitoa hazina..huko hazina kunani jamani???kama pesa zinachezewa hivi si hao wakina waziri na wenzake si ndio balaa zaidi wanajua wanachofanya...wanakijua wenyewe......kuhusu ATCL mnukulu kaandika barua anahamia full tym NIC kuanzia jana na kamhandaover new acting CEO WILLIAM HAJI....KAZI KWELI KWELI
 
Mhh nyinyi William Haji awe Acting CEO? mbona balaa! ulizeni madudu yake Mobitel (MIC Tanzania Ltd).Haya bwana yangu macho na masikio! mwenye macho haambiwi tazama.
 
Hivi tanzania tunakosa new critical thinkers wa kuendesha haya mashirika mpaka wafanye recycling ya viongozi? i dont understand ni vigezo gani wanatumia kama mtu anafirisi shirika moja unampa na lingine tena ambalo liko ICU na lenyewe amalizie.

Haya mashirika yetu yanahitaji new critical thinkers kuyainua na sio wazee walipitwa na wakati, naamini tanzania tuna watu wengi wanaweza kufanya hiyo kazi why mataka kila sehemu.

au ndio wanadhibitisha kuwa 38% ya watanzania wamedumaa akiri kwahiyo hata kama mtu anaboronga inabidi abadilishwe tu na sio kumpumzisha kwa kuwa hakuna wengine
 
Wanandugu kweli mungu hamtupi mja wake..kama siku yaliowakuta wahanga wa ATCL kwa kufukkuzwa kazi watu watano na wengine kuhakikishiwa kuondoka kabla ya baadhi ya vijukuu vya mtume kuingilia kati na kutupa sala zenu kwa mja wetu wakiwemo members wa jf.....leo hii mmoja wa wahanga alietimuliwa ATCL kwa kuandika habari za kampuni kwenye WWW.JAMIIFORUMS.COM ametunukiwa umanager kwenye kampuni tanzu ya precission kuanzia leo hii nae si mwingine bali ni



To all of you Guys,



On 22nd February 2008, I wrote you an email with the same caption –

Farewell. That was shortly after Mr. Mkinga (on behalf of Management) had

handed me a letter headed: TERMINATION ON GROUNDS OF INCOMPATIBILITY.



Well, I had done nothing wrong, and I believed then that my Creator will

fight for His humble servant. That is what He did, and I was back four

months later.



Msiogope – Mr Mkinga has not given me another letter!



I would just like to let you know that today is my last day in office as

an ATCL employee. I tendered my resignation letter yesterday. I hope to

complete my handing over process today, but if I will not manage, then I

will complete the exercise tomorrow.



I have joined Precision Air effective 11th May 2009. I have been offered

the position of Manager Technical Services whereby I will be heading the

Engineering Development, Engineering Planning, Technical Records and

Technical Library Units.

I look forward to the challenge ahead.

Guys, challenges are healthy – they make life more exciting!



I would like to say a big thank you to all of you for making my 18 year

stay in TC something to remember and treasure. Not everything was rosy;

the biggest shocker was my termination last year. But I look at that

positively. The Almighty God sometimes allows calamities to befall His

servants, just to test their grit. I thank God for what happened because

the incident taught me a lot of things; it also made me much stronger.



I call upon all of you to always put God in front, and always strive to

lead a life He expects from you. If you can, try fasting and praying as

much as you can. The rewards are monumental.
 
long time ago – more than ten years back, I was listening on the radio

to a speech by an Imam during the Eid celebrations (Baraza la Iddi). He

spoke about a lot of things but I recall just one thing he said. He said,

''… Ndugu Waislamu, kama mungalizijua thawabu nyingi zinazopatikana wakati

wa mfungo wa Ramadhani, mgalitamani mfunge kila siku..''.



I tend to agree with the Imam. Many important things in my life have

happened to me during fasting in the period of Lent (Kwaresma). When I was

fired last year, It was in the middle of Kwaresma. When I was approached

to join PW last month (without any expectations), it was in the period of

Kwaresma!

So guys, let us always strive to make peace with our Creator.





Currently ATCL is going through rough waters, but it's not the end of the

world!

When a man (or a woman) falls down, you don't remain on the ground crying,

but you get up, dust yourself up.... and start all over again! You should

never accept defeat.



I was privileged to visit Boeing facilities at Seattle, Washington DC in

1995 for a workshop on Corrosion Prevention and Control. In that town,

Seattle, they had their Baseball team called Seattle Mariners. This team

had their motto which I remember to this day. It Said, '' REFUSE TO

LOSE''.



I guess that should be the spirit to ensure that TC is back on her feet soon.



May the roads that you all travel in 2009 lead to beautiful places!



Regards,

John sitta





You can always catch me at : jbssita@yahoo.com/precission.com and 0754800123



kwa niaba ya wale waliokuwa pamoja na wahanga hawa mpaka mwisho tunatoa shukrani kwa wale members wote wa JF waliojitahidi kulaani na kufikia kurudishwa tena kabla ya neema kumwangukia mh sitta..tunawatakia kila la kheri tuwe na moyo huo huo hasa kipindi member yoyote akipata matatizo kazini nyumbani tusichoke kuambiana kujua jinsi ya kusaidiana



GODBLESS JF MEMBERS
 
Sidhani hii ni pesa kubwa kwa TZ sasa ,hii ni sawa na Tsh 30X 100,000 = 3,000,000 hata wataalamu wa kawaida tu wanapata hizi sembuse MD

HII NI PESA KUBWA UKILINGANISHA NA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA....KIPATO CHA MTU MMOJA KWA SIKU YAANI..LAKIMOJA AMA 100,000 ANAPATA MTANZANIA KWA MWEZI ....MMMH SIJUI USILINGANISHE NA ZILE ZA KULIPANA KWA HRS..UGAIBUNI..
 
Masatu
Masatu is falling asleep
JF Senior Expert Member Join Date: Mon Jan 2007
Location: uwanja wa fisi
Posts: 2,904
Thanks: 240
Thanked 1,376 Times in 792 Posts
Rep Power: 0

Credits: 55,120,590

Re: Mattaka the new NIC Director

--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).



Uandishi gani huu? kuteuliwa nafasi kumbe ni kuula? je akila kweli mtamlaumu

ANS

ANALIWA
 
Masatu
Masatu is falling asleep
JF Senior Expert Member Join Date: Mon Jan 2007
Location: uwanja wa fisi
Posts: 2,904
Thanks: 240
Thanked 1,376 Times in 792 Posts
Rep Power: 0

Credits: 55,120,590

Re: Mattaka the new NIC Director

--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).



Uandishi gani huu? kuteuliwa nafasi kumbe ni kuula? je akila kweli mtamlaumu

ANS

ANALIWA


Simo..........
 
Kuhusu uteuzi wa Mkurugenzi mwingine au anayekaimu, mimi namtakia kila la kheri lakini bila kupunguza hao wafanyakazi asitegemee lolote. ndege mbili sijui tatu wafanyakazi 300... it can work any where in this world.
INA NDEGE 5 ILE KAMPUNI WAULIZE IZURI KABLA YA KUANDIKA.....
BOEING 2,AIRBUS 1,DASH 300 KAMA SIKOSEI 2

HIZO 3 ZIKO MATENGENEZONI HUKO S,AFRICA NA MAURITIUS NASIKIA....SASA KWA HIYO UKIPELEKA NDEGE KWENYE MATENGENEZO UPUNGUZE WAFANYAKAZI ZIKIRUDI UAJIRI TENA UNAJUA GARAMA YA KUAJIRI.....LINGINE UPUUZI WAO KAMA WAMEKULA HELA NA KUSHINDWA KUKOMBOA NDEGE ZILIZO MATENGENEZONI NI UJINGA WA MANAGEMENT NA BODI YAKE....
 
Back
Top Bottom