Mattaka the new NIC Director

Hivi kuamua kurudi au kutokurudi nyumbani inategemea na hela peke yake..??!! Mwacheni Rais aendlee kuwateua hao hao kina Mataka..!!
Katika kila unachofanya as binadamu, you do expect something of value in return.
Wengi wetu matarajio yetu ni FEDHA.
 
??? Unasikia? jibu hoja mheshimiwa. If you dont have something to say sio lazma kuandika mkuu.
Mngekuwa makini namna hiyo, matatizo yetu tunayoface kama taifa yasingekuwepo,or yangekuwa katika level ya chini.
Relax ........itakusaidia kwa afya yako.
 
Katika kila unachofanya as binadamu, you do expect something of value in return.
Wengi wetu matarajio yetu ni FEDHA.


Sasa kama kivutio chako namba 1 cha kurudi nyumbani ni hela "angalia kwa mapana, utaona hicho kivutio kinawezekana kabisa, wala sio tatizo kama unavyofikiria."

Nina imani wapo wengine humu kama mimi, hela sio kivutio nambari 1, ila nayo ina nafasi yake muhimu.
 
Nasubiri huyo Mataka ateuliwe kuwa MD-NIC ili niiweke post yangu hapa niliyotabiri hilo kuwa linakuja na litakuja god forbid lakini muungwana hasikilizi la mtu.
 
Mattaka wa ATCL arejeshwa Bima kuwa mjumbe wa bodi

Exuper Kachenje na Leon Bahati - Mwananchi

MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Fedha na Uchumi, kupitia msemaji wake, Ingiahedi Mduma, Mattaka ni mmoja wa wajumbe watano wa bodi hiyo ambayo uteuzi wake ulifanywa na Waziri wa wizara hiyo Mustafa Mkulo.

Mattaka ni mmoja wa wajumbe wa timu iliyoteuliwa kulichunguza shirika hilo la bima, kabla ya kufanyiwa mabadiliko ambayo uteuzi wake katika timu hiyo ulizua maswali kutokana na kuliongoza ATCL iliyokuwa na matatizo lukuki yakiwemo ya kufungiwa kufanya safari zake,

Aidha, Rais Jakaya Kikwete alimteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Shirika hilo kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Aprili 21, 2009.

"Rais wa Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 21 aprili, 2009," ilisema sehemu ya tarifa hiyo.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa, Waziri wa Fedha na Uchumi alimteua Justine Mwandu kuwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NIC kuanzia Aprili Mosi, 2009.

Kabla ya uteuzi huo Mwandu alikuwa Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa Idara ya kusimamia shughuli za bima (ISD).

Wajumbe wengine wa bodi ya NIC mbali ya Mattaka ni Michael Mhando, Agnes Bukuku, Kate Bandawe na Charles Kilasile.

Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, bodi hiyo itafanya shughuli za usimamizi wa NIC pamoja na urekebishaji wa shirika hilo.
 
The president of south Africa ?


This man is da bomb!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Number one
Sizakele Khumalo - whom he met in 1959. She lives at his rural R1,5-million home at
Nkandla in northern KwaZulu- Natal and they have no children.


Ex-wife
Foreign Affairs Minister Nkosazana Dlamini-Zuma - with whom he had four children -
Msholozi, 24, Gugu, 22, Thuli, 21 and Thuthi, 19. They divorced in June 1998 due to
"irreconcilable differences."


Late wife
Kate Zuma - with whom he had five children - Saady, 29, twins Duduzile and
Duduzane both 25, Phumzile, 20 and Vusi. She committed suicide on December 8, 2000
after apparent strained relations with Zuma.


Still on honeymoon
Nompumelelo Mantuli Zuma - whom he married in January. She has two children
Thandiswe, 7 and eight month old Sinquobile.


Waiting in the wings
Thobeka Stacey Mabhija - with whom he has two children including a 5 month old
baby


Mrs Jacob Zuma number six?
Bongi Ngema - from Umlazi, has a seven month old son


Old flame
Minah Shongwe - who is Zuma's old flame. Shongwe, the sister of Judge Jeremiah
Shongwe has a 30 year old son, Edward with Zuma.


Left at the altar
Zuma also paid half lobolo for Swazi Princess Sebentile Dlamini, 38, the
granddaughter of King Sobhuza III, in 2002 but nothing has come out of it.
4 Marriages, 1 Half Lobola, 3 sleeping partners and 15 Children...????? Check the
age differences between the children from different mothers, ya neh, UZuma wa
sebenziza um'shini wakhe.!!!!!

Hayi, lena ke inzima?..



NA MATAKA JE??
 
ushaona wanaume wanazaaa???mbona unamtusi mwenzako...
yeye hilo hapo juu alijui zake kriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiishaaaaaaaaaaaaaaaaaaa::mabwabwa:::
 
Mattaka wa ATCL arejeshwa Bima kuwa mjumbe wa bodi

Exuper Kachenje na Leon Bahati - Mwananchi

MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Fedha na Uchumi, kupitia msemaji wake, Ingiahedi Mduma, Mattaka ni mmoja wa wajumbe watano wa bodi hiyo ambayo uteuzi wake ulifanywa na Waziri wa wizara hiyo Mustafa Mkulo.

Mattaka ni mmoja wa wajumbe wa timu iliyoteuliwa kulichunguza shirika hilo la bima, kabla ya kufanyiwa mabadiliko ambayo uteuzi wake katika timu hiyo ulizua maswali kutokana na kuliongoza ATCL iliyokuwa na matatizo lukuki yakiwemo ya kufungiwa kufanya safari zake,

Aidha, Rais Jakaya Kikwete alimteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Shirika hilo kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Aprili 21, 2009.

"Rais wa Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 21 aprili, 2009," ilisema sehemu ya tarifa hiyo.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa, Waziri wa Fedha na Uchumi alimteua Justine Mwandu kuwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NIC kuanzia Aprili Mosi, 2009.
Kabla ya uteuzi huo Mwandu alikuwa Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa Idara ya kusimamia shughuli za bima (ISD).

Wajumbe wengine wa bodi ya NIC mbali ya Mattaka ni Michael Mhando, Agnes Bukuku, Kate Bandawe na Charles Kilasile.

Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, bodi hiyo itafanya shughuli za usimamizi wa NIC pamoja na urekebishaji wa shirika hilo.

recycling at its best!
 
Chanzo: Mwananchi 12/05/2009

MKURUGENZI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka, ameula tena, baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Bima ya Taifa (NIC).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Fedha na Uchumi, kupitia msemaji wake, Ingiahedi Mduma, Mattaka ni mmoja wa wajumbe watano wa bodi hiyo ambayo uteuzi wake ulifanywa na Waziri wa wizara hiyo Mustafa Mkulo.

Mattaka ni mmoja wa wajumbe wa timu iliyoteuliwa kulichunguza shirika hilo la bima, kabla ya kufanyiwa mabadiliko ambayo uteuzi wake katika timu hiyo ulizua maswali kutokana na kuliongoza ATCL iliyokuwa na matatizo lukuki yakiwemo ya kufungiwa kufanya safari zake,

Aidha, Rais Jakaya Kikwete alimteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Shirika hilo kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Aprili 21, 2009.

"Rais wa Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Charles Mutalemwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 21 aprili, 2009," ilisema sehemu ya tarifa hiyo.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa, Waziri wa Fedha na Uchumi alimteua Justine Mwandu kuwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NIC kuanzia Aprili Mosi, 2009.

Kabla ya uteuzi huo Mwandu alikuwa Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa Idara ya kusimamia shughuli za bima (ISD).

Wajumbe wengine wa bodi ya NIC mbali ya Mattaka ni Michael Mhando, Agnes Bukuku, Kate Bandawe na Charles Kilasile.

Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, bodi hiyo itafanya shughuli za usimamizi wa NIC pamoja na urekebishaji wa shirika hilo.


Hivi humu ndani kuna waganga wa kienyeji? Kuna m2 alisema haya yatatokea na kweli yamejili.Mwendo ndo huo,akayaue yote.Mungu yupo.
 
Habari za zilizothibitishwa ila hazijatolewa rasmi na mhusika(Mattaka) zinasema kuwa ameachia ngazi ATCL na amemteua Mkurugenzi wa fedha bwana William Haji kukaimu hiyo nafasi
 
Kwani hakuna zaidi ya Mattaka??nashangaa sana ok haya eti wanasema alipelekwa usa mwaka 1978 kwa miaka 2,kusomea NIC.hilo tu ndio linalombeba????ina maana hakuna wengine haata waliosoma au waliosoma mambo bima zaidi yake aliesoma mwaka 48????sidhani naona kulindana na kubebana tuuu
 
Duh ina maana mambo ya gov siku hizi yanaanzia JF? maana tuliidiscuss ishu ya Mattaka na Bima a month ago
 
Hivi humu ndani kuna waganga wa kienyeji? Kuna m2 alisema haya yatatokea na kweli yamejili.Mwendo ndo huo,akayaue yote.Mungu yupo.

Hii habari ni ya muda kidogo kama sikosei mimi nilishasoma kwenye gazeti kuhusu huu uteuzi wa mjumbe board, wiki mbili au tatu zilizopita.

Ambacho nilikuwa sijasoma ni kuhusu ATCL.

Kuhusu uteuzi wa Mkurugenzi mwingine au anayekaimu, mimi namtakia kila la kheri lakini bila kupunguza hao wafanyakazi asitegemee lolote. ndege mbili sijui tatu wafanyakazi 300... it can work any where in this world.
 
Back
Top Bottom