Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Hii inaonyesha JK haangalii jamii inasemaje juu ya uovu wa watendaji wake
Kama angekuwa anasikiliza jamii unafikiri angemrudisha Chenge kwenye baraza lake la Mawaziri. Maana hadi Chenge mwenyewe aling'aka.."Kamuulizeni yeye mwenyewe aliyeniteua kwanini kaniteua"! It could have been one othe most honest remarks he ever made..