Mattaka the new NIC Director

Mkuu, siyo sekondari tuu! hata chuo kikuu walikuwa 'Room mates' hawa wametoka mbali ati!!thats what friends R 4!!:)

Ni jambo la busara mtu mzima kuandika kitu ambcho una uhakika nacho; Jakaya na Mattaka hawajawahi kuwa room-mates UDSM, marehemu Eliud Mwandembwa ndio aliwahi kuwa room-mate wa muungwana pale chuo kikuu!1
 
Ni jambo la busara mtu mzima kuandika kitu ambcho una uhakika nacho; Jakaya na Mattaka hawajawahi kuwa room-mates UDSM, marehemu Eliud Mwandembwa ndio aliwahi kuwa room-mate wa muungwana pale chuo kikuu!1

Hivi ni sheria miaka hiyo pale UDSM kuwa na room mate mmoja tu from first to last year?
 
Utendaji wa mtu unategemea Mfumo(System) uliopo kwenye organization husika.
Walionekana Non-performers, hao hao wakienda kwenye organization zenye system nzuri performance zao zinameet organizastion's expectations or zina exceed the same.

Tujiulize mbona tuna wasomi wengi?,wakipewa hizo nafasi wanashindwa kudeliver.

Wengi wanakuwa hodari kukosoa wanapokuwa nje, tumewapa mashirika na wizara wameshindwa.


TATIZO SIYO MATAKA.

NI SYSTEM zilizopo kwenye mashirika yetu ambazo siyo result-oriented.

Kwa hiyo basi? Mimi nafikiri Mataka angetuonyesha alivyo fight ATCL iwe - result oriented na kwamba alipigwa vita na system. System ama sivyo, tungependa mashirika yafanikiwe la sivyo ni kupoteza rasilimali zetu.
 
Hapo swala la usomi kunawakati mwingine hambao hautakiwi sana kwani atuwezi kuadmit uzembe kwa kusingizia kutosoma au kusoma huo uongo mkubwa.Kuna watu wanavyeti vya ngumbaru lakini wanaweza kufanya maajabu.Kuna watu wamesoma sana lakini elimu yao hazijawasaidia na wala hawana jipya kwahiyo naamini mtu anatakiwa awe na elimu ya utambuzi tu inaweza kumsaidia .Kuna kila wataalamu hapa Tanzania lakini kutambua ninani anaweza kutoa ushauri wa kusaidia hiyo ndiyo shida .Watu wanapendeleana bila kuwa na sababu za msingi .Kwa hiyo vyeti sio sababu tena wenye vyeti mabomu wa kutupa Mfano nani Kama CHENGE ambaye ana cheti cha harvadi,nani kama MAHALU ambaye ni PROF .nani kama MKAPA ambaye alikuwa inteligence na RAIS kuna wakina PROF KAPUYA, nawengine amabao siwezi kuwataja ambao Elimu za hasija saidia kuleta maendeleo.kuna watu kama Simba wavita Kawawa alikuwa PROF wa chuo gani lakini nafikiri kila mtu anajua accamplishment yake,nawengine wengi ambao siwezi kuwa taja .

Mimi ningependa kumjadili mtu kwanjinsi alivyo kwani tusiingize vyeti kwani anaye chaguliwa siyo tahira bali ni mtu mwenye uwezo kama watu wengine ila ni mzembe kutumia akili zao.Mfano JK na MATAKA hawa jamaa ni wasembe wa kufikiria na kutumia utambuzi walio nao .Pia hekima ni muhimu sana kwani hii inatoka kwa Mungu kama huna hiyo Elimu yenye vyeti vya bandia na isiyo ya bandia haitakusaidia .

Huo ndio Mchango wangu
 
Back
Top Bottom