Mkuu mallya umefanya kazi nzuri sana,Hongera sana mkuu kwa kazi hiyo ya mfano.Matokeo Rasmi ya Udiwani Kata hii ya Nanjara Reha ni haya:
CHADEMA KURA 2370
CCM KURA 1134
Ahsanteni sana Wana Nanjara Reha kwa kuendelea kuiamini CHADEMA na kuitupilia mbali CCM. Mmechagua Mabadiliko mkaacha Mafisadi! Mmechagua jema na kuacha baya! Mmefanya maamuzi sahihi.
Mungu awabariki sana!