Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,555
Daaah imekuwaje tena bang'ata tumeshindwa...
mkuu, umepata matokeo!? Embu weka vizuri hii bad news!
Daaah imekuwaje tena bang'ata tumeshindwa...
mkuu, umepata matokeo!? Embu weka vizuri hii bad news!
Nimeshatangaza ushindi,CHADEMA tuna jumla ya kura 2156,Ccm 1282
mimi nilisema.....CHADEMA lazima ichukue Daraja Mbili.......saa zingine tukiwa tunaongea mtusikilize.........karibu kwenye party ya ushindi....
Habari nilizonazo ni kwamba Bangata kuna utata lakini the margin is close...si unajua margin ikiwa close uchakachuaji uhakuwa inevitable?
nini hasa wapenzi wa cdm wamikoa isiyo kuwa ya kazikazin wamezidiwa na wachaga wa kazikazini kawani wanashangilia ushindi wa kata mbili za kazikazini wakati chaguzi zimefanyika nchi nzima
Kata nne so far! The biggest news ni CHADEMA kushinda Sikonge, of all the places! Leo nimeshuhudia kifo cha ccm, CHADEMA kushinda unyamwezini! Unbelievable!
Waambie mamie....
Nakuja kamanda
Ni chama kipya tena? Tujuze kama kimeshasajiliwa mkuuUkombozi wa ukweli wa Mtanzania utaletwa na Majemedari kutoka CCM - Halisi na sio Chadema tuungane pamoja katika harakati mupya za ukuombozi wa Taifa letu kutoka mikononi mwa Mafisadi wa CCM na Matapeli/wezi Chadema
Matokeo ya awali:
Daraja Mbili Arusha:
Chumba cha kwanza, Chadema 74, CCM 21.
Bado uhesabuji unaendelea! Kulikuwa na vurugu za hapa na pale, CCM walitaka kuingiza maboxs yenye kura bandia! Wananchi wamekuwa wakali km pilipili.
Source: Sunrise radio.
Daaah imekuwaje tena bang'ata tumeshindwa...
nini hasa wapenzi wa cdm wamikoa isiyo kuwa ya kazikazin wamezidiwa na wachaga wa kazikazini kawani wanashangilia ushindi wa kata mbili za kazikazini wakati chaguzi zimefanyika nchi nzima