Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Hatimae kashindye awa Mbunge mpya Igunga. Source: ndani ya ukumbi wa halmashauri.
 
This is the same shit that CCM has been doing in our elections

#Igunga: CCM won 49% vs Chadema 45% (Matokeo ya awali)
 
Ma-CCM utayajua na ID moja kutumiwa na wa2 zaidi ya 1 ...Ona Faiza,Rejao na wengineo ambao wanaibuka kila UCHAO ndo wameingia SHIFT ya Usiku... WANANGUVU SANA SANA saa hizi...
 
Tusubiri matokeo ya tume ya uchaguz ya igunga hata kama vp chadema lazma tuwini
 
Dah!acheni ku2zingua navimipasho vyenu bhana wengine ha2po huko na 2nategemea ku updatika kupitia hapa niaje wakuu?.
 
Mungu yuko pamoja na chadema atasimamia na kulinda kura zote halali.Simama na ukauone wokovu wa BWANA
musa akawaambia wana wa israel msilie mkauone wokovu wa bwana wamisri mnao waona leo amtawaona tena MILELE.
 
Jamani nimesha amka vipi? nani kashinda Igunga? naomba mnijuze au ndo yale yale kama washika bunduki, Arsenal?
 
Tutawasamehe wananchi wa Igunga endapo watasahihisha makosa waliyofanya kwa kumchagua Gabachori vinginevyo dhambi hiyo itaendelea kuwatafuna Milele.
 
Jamani nimesha amka vipi? nani kashinda Igunga? naomba mnijuze au ndo yale yale kama washika bunduki, Arsenal?

Bana eehh! acha kuingiza habari ya Arsenal hapa, wengine tuna machungu yetu alaa!!1
 
Ma-CCM utayajua na ID moja kutumiwa na wa2 zaidi ya 1 ...Ona Faiza,Rejao na wengineo ambao wanaibuka kila UCHAO ndo wameingia SHIFT ya Usiku... WANANGUVU SANA SANA saa hizi...

Hao ni kama inzi au bimbilisa mavi wanapenda vitu vinavyonuka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom