Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
UPDATED:

Dalili zinaashiria CCM kuibuka na ushindi wa 49% dhidi ya CHADEMA ambayo ina 45% hivi...

MATOKEOigunga1.jpg

matokeo_igunga.jpg


Mbona kata ya Igunga haina data? hapo namba 20!!!
 
Let us wait for official results please! these gossips just make things unpredictable!
 
Nakipenda CHADEMA leo kuliko hata jinsi ambavyo nilivyokua nikikipenda hapo jana. HAKI itendeke na ionekane na kuhisiwa kutendeka kwenye uchaguzi Igunga.

Inakua vipi COLUMN ya CUF hakuna kura hata moja au NDIO KUSEMA CHAMA HIKI KIMEUZA KURA ZA kwa swahiba wake Chama Cha Mapinduzi.


MATOKEOigunga1.jpg
 
noana idadi inazidi ya wapiga kura waliojiandikisha,na yale maboksi yenye kura feki aliokama mdee imakuwaje?? tanzania wizi wa kura wiz wizi hadi lini? siku wananchi wakichoka watatamani kuacha mvx yao na kuikimbia nchi wenyewe.za mwizi arobaini,
 
Wakuu msiwe na presha tsubiri filimbi ya mwisho unapoona wale die hards wa CCM ambao unfortunately ni duplication ya ID's wamepotea ghafla jua kuna jambo!!!!!!!!

Rejao, Twahil, Mafilili, FF, Mwita 25, Salimia (HK) bwaha ahaha ahaha bwa ahaha ahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu tumekupata na hiyo actualities uloweka tumeiona,je kuna kitu gani kinachochelewesha kuyatanganza,na je hapo umesema ni vituo,je ulikuwa una maanisha matokeo kwa kila kata au una maanisha vituo kama vituo,maana ukizungumzia kata kuna kata 26 kama ulivyotuhabarisha lakini ukizugumzia vituo kuna vituo mianne ishirini kitu nadhani kama ishirini na saba.
Ufanunuzi na kile kinachokwamisha kutangazwa ni kipi?
 
Yametimia, wapigakura takribani milioni 46 na CDM wameibuka na ushindi wa 42% na vyama vingine vidogo vidogo including CUF 7%
 
hayo matokeo hapo juu siyo sahihi kabisa, ukiona kitu kimefutwa hata mahakamani ushaidi unakuwa batili.
 
Matokeo scanned hapo juu ni uongo ni sppining za CCM wakiongozwa na January, so wait , Ndio maana Igunga haionyeshwi idadi ya kura kuna matokeo yanataka kupangwa will update you soon.
 
Yametimia, wapigakura takribani milioni 46 na CDM wameibuka na ushindi wa 42% na vyama vingine vidogo vidogo including CUF 7%

unaboa sana, unapotoa takwimu uzihusishe na tukio. hufananii kuwa washington DC
 
Ukweli ni kwamba CCM wameshinda, inaumiza roho sanaaa lakini kwa sasa siwezi sema mengi.
 
matokeo scanned hapo juu ni uongo ni sppining za ccm wakiongozwa na january, so wait , ndio maana igunga haionyeshwi idadi ya kura kuna matokeo yanataka kupangwa will update you soon.

waache wayapange , halafu wasubiri ya libya. Naomba mod wayaondoe hayo matokeo hapo juu kama walivyoyaondoa mengine afadhali tubaki na tetesi tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom