Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 426
wana jf ni waajabu sana yaani woote mmtekwa na huyu ff aliyetoka labour juzi na kuacha kujadili mambo ya maana, lengo lako huyo ni kuwatoa kwenye mood na kujadili kitu ambacho hakipo,na kafanikiwa kwa wale wanaomjibu, kumbuken mwenzenu yuko kwenye mission maalumu ili aharibu mjadala
Uko sawa mkuu