Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
wana jf ni waajabu sana yaani woote mmtekwa na huyu ff aliyetoka labour juzi na kuacha kujadili mambo ya maana, lengo lako huyo ni kuwatoa kwenye mood na kujadili kitu ambacho hakipo,na kafanikiwa kwa wale wanaomjibu, kumbuken mwenzenu yuko kwenye mission maalumu ili aharibu mjadala

Uko sawa mkuu
 
jamani izo taarifa ni za kweli ametoa bwana mudi ulega ya wa uvccm,pia nendeni facebook group moja inaitwa tanuru la fikra wamejaa ccm watupe nimetembelea mara ya mwisho nimekuta riiwani na yule dr wa nzega wanapongezana igunga ccm wanachukua gepu limeongezeka adi aibu mbowe na slaa wametimka usiku huu!

Kama kuna mawakala makini na wenye mawasilino na mabosi wao wa chama lazima wawe na matokeo
 
Hapa ndiyo mwisho wa ubishi

UPDATED:

Dalili zinaashiria CCM kuibuka na ushindi wa 49% dhidi ya CHADEMA ambayo ina 45% hivi...

MATOKEOigunga1.jpg

matokeo_igunga.jpg
 
Sasa watu tujue kwamba siri kuu ya CCM kuiba kura ni katika KUHODHI TAARIFA MUHIMU NA KUZICHEZEA KAMARI.

Sasa cha msingi ni kutafutia tiba ya kudumu hili jambo hapa katika sheria zetu mpya.

Magamba noma, wamekata mawasiliano ya internet igunga yote ili picha na taarifa zisitoke kwa wakati na ufanisi, Dah!
 
Wandugu,

Ukweli ni kuwa CCM wameshinda, CDM wajipange kujiandaa na 2015
 
There are currently 3566 users browsing this thread. (612 members and 2954 guests)
kaz kwelikweli.............
 
Ole wao wana Igunga...kama watachagua yule Kamishna"MZIMAAAAAA"wa "MADINI"kuwatumikia SHAME ON THEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEM!!!
 
There are currently 3496 users browsing this thread. (595 members and 2901 guests)

Naona Watanzania wameamka muda huu hawajalala kusubiri breaking news za Igunga Jipigieni makofi tafadhali.
 
Kama ndo hivo basi tena, lkn hicho kama cha kujicholea tu. Nalala ningoje bwana Magayana atangaze.
 
Ni vizuri tuwe makini na source zetu. Isiwe kuwa tunapewa data na CCM. Lakini nataka kuamini kwani na CDM nao wangekuwa wanajua wameshinda basi wangetuwekea data zao hapa. Ngoja tuwasikilize. Tupeni ukweli ili tulale kwa amani.

Ukwelit ni upi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom