Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Yani huu ni uboya bin uboya nacte walicoment wenyewe kuwa wanarelease selection leo na masomo yanaanza trh 25 na kinachonishangaza mpk sasa hamna dalili najiuliza je system imedukuliwa au uzembe wa hawa watu wasiojulikana. Au wanafkir tnakunya ela wengne hapa watoto wa maskini. Inabd mtoe taarifa mapema tualike ukoo ujichange ili tuwaandae siku flani sas mnapotucheleweshea mnatunyima nafasi ya kuwahi chuoni. Nacte nyie mtalaaniwa bure

Sent using Jamii Forums mobile app




usikasirike kwani siku imeishaaaaaa???????a!!!!
给你天下事
 
Nacte u are letting down students and their parents; we were expecting the results to be out today but it's so much surprised that till this moment we hear nothing from you, we are disappointed with this cennaria of being Quite
 
Kwa taarifa nilizo nazo majibu hayatangazi na nacte mwaka huu. Ni vyuo husika ndio vitakavyosema nani kachaguliwa wapi. Kwa elimu vyuo vya serikali ni wizara ndio itakayo toa tamko vivyo hivyo na afya pia. Kazi ya nacte ni kutoa ratiba na kuacha wahusika waitekeleze.
 
Serikali wafukuzeni kazi wafanyakazi wa nacte wanafanya kazi kwa mazoea kabisa taasisi hii imekuwa ikilalamikiwa kila mara leo mlisema mnatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo lakini mjatoa na mmekuwa na mda mrefu sana wa kujiandaa kufanya selection lakini mpaka sasa hakuna cha maana mnachofanya na wiki ijayo mhula wa masomo utaanza je ? mnatusaidia kutulipia hali ya uchumi mbaya sasa hivi mngetoa majina mapema watu waandae pesa acheni uvivu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa taarifa nilizo nazo majibu hayatangazi na nacte mwaka huu. Ni vyuo husika ndio vitakavyosema nani kachaguliwa wapi. Kwa elimu vyuo vya serikali ni wizara ndio itakayo toa tamko vivyo hivyo na afya pia. Kazi ya nacte ni kutoa ratiba na kuacha wahusika waitekeleze.
 
Yani huu ni uboya bin uboya nacte walicoment wenyewe kuwa wanarelease selection leo na masomo yanaanza trh 25 na kinachonishangaza mpk sasa hamna dalili najiuliza je system imedukuliwa au uzembe wa hawa watu wasiojulikana. Au wanafkir tnakunya ela wengne hapa watoto wa maskini. Inabd mtoe taarifa mapema tualike ukoo ujichange ili tuwaandae siku flani sas mnapotucheleweshea mnatunyima nafasi ya kuwahi chuoni. Nacte nyie mtalaaniwa bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure bro, hali ni tete bora watoe mapema
 
Jamani naona tarehe deadline waloipanga nacte ishaenda, vipi kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu majina ya walioaply vyuo vya kilimo? Msaada tafadhali
 
I think hatuko hapa kwaajil ya utani kuna forum za utani na vichekesho kama unataka kuchekesha i mean ongeeni ukweli na sio kushtua watu et kitu kimetoka wakati bado
 
Me mwenyewe nimeapply mkuu... tena kitambo sana toka mwez May ila hadi leo naona kimya. Deadline yao ilikuwa Aug 8 sasa nashangaa mwezi 1 na nusu bado hawatoi selection..!!!
 
Back
Top Bottom