Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Serikali wafukuzeni kazi wafanyakazi wa nacte wanafanya kazi kwa mazoea kabisa taasisi hii imekuwa ikilalamikiwa kila mara leo mlisema mnatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo lakini mjatoa na mmekuwa na mda mrefu sana wa kujiandaa kufanya selection lakini mpaka sasa hakuna cha maana mnachofanya na wiki ijayo mhula wa masomo utaanza je ? mnatusaidia kutulipia hali ya uchumi mbaya sasa hivi mngetoa majina mapema watu waandae pesa acheni uvivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaaha hao ndio nacte......Nakumbuka walituambia 12 agust wangetoa vyeti ila naona mpka sasa kimya tuuu ila haya ndio maisha
 
Serikali wafukuzeni kazi wafanyakazi wa nacte wanafanya kazi kwa mazoea kabisa taasisi hii imekuwa ikilalamikiwa kila mara leo mlisema mnatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo lakini mjatoa na mmekuwa na mda mrefu sana wa kujiandaa kufanya selection lakini mpaka sasa hakuna cha maana mnachofanya na wiki ijayo mhula wa masomo utaanza je ? mnatusaidia kutulipia hali ya uchumi mbaya sasa hivi mngetoa majina mapema watu waandae pesa acheni uvivu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani siku imeisha. Lazima kuna sababu tuwape muda
 
Yani huu ni uboya bin uboya nacte walicoment wenyewe kuwa wanarelease selection leo na masomo yanaanza trh 25 na kinachonishangaza mpk sasa hamna dalili najiuliza je system imedukuliwa au uzembe wa hawa watu wasiojulikana. Au wanafkir tnakunya ela wengne hapa watoto wa maskini. Inabd mtoe taarifa mapema tualike ukoo ujichange ili tuwaandae siku flani sas mnapotucheleweshea mnatunyima nafasi ya kuwahi chuoni. Nacte nyie mtalaaniwa bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
et community health nayo ina dili kwa nchi yetu ya TANZANIA
 
Yani huu ni uboya bin uboya nacte walicoment wenyewe kuwa wanarelease selection leo na masomo yanaanza trh 25 na kinachonishangaza mpk sasa hamna dalili najiuliza je system imedukuliwa au uzembe wa hawa watu wasiojulikana. Au wanafkir tnakunya ela wengne hapa watoto wa maskini. Inabd mtoe taarifa mapema tualike ukoo ujichange ili tuwaandae siku flani sas mnapotucheleweshea mnatunyima nafasi ya kuwahi chuoni. Nacte nyie mtalaaniwa bure

Sent using Jamii Forums mobile app

Dah pole sn ... hadi unatia hurumaa


Subira inahitajika
 
Back
Top Bottom