Matokeo ya NACTE yametoka?

ukweli nacte ni wababaishaji sana mpaka sasa hivi hawajatoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kusomea kozi za afya na ualimu na hukuna dalili yeyote ile ya kutoa majina leo huu ni upuuzi wa hali ya juu sana nacte mnafanya kazi kwa mazoea sana .

Mnachelewesha kutoa majina watu watajiandaa lini ? na karo plus michango mingine acheni unyama huo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom