Omary idd
Member
- Sep 5, 2017
- 65
- 13
Jamni kwa niaba ya wanafunzi wenzangu mbona matokeo hayatoki kama walivyo sema ama huku nilipo system sio nzuri?
Naomba kujua kama yametoka ama bado asante natangulia salamu kwenu Mungu akubariki wewe unaesaidia hili swali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua kama yametoka ama bado asante natangulia salamu kwenu Mungu akubariki wewe unaesaidia hili swali.
Sent using Jamii Forums mobile app