Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Leo tarehe 15 nacte wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu nacte ni mpuuzi sana anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu nacte haifanyi kazi ni wababaishaji .

Mda wa kuripoti chuoni unakalibia nacte wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya mda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
e1ddab1ba34c88d457b2f4180b9f9033.jpg
 
kiukweli hakuna jambo jema lina pangwa likaendana na ratiba katika awamu hii.. ila ya kipuuzi yanafanyika kwa muda mwafaka.. vyuo wanasema kulipoti ni tarehe 25.09. leo ni 15 bado siku 9 tuu. kwa ada zilivyo juu na maisha au pesa ilivyoadimika mtaani unahisi ni rahisi kufanya maadalizi kwa muda huo?
Tar 25 sio kuripot bali ni masomo kuanza
Yaani wanafunzi wanatakiwa wawe admitted kabla then tar 25/9 ndio waanze masomo.

Wanatakiwa wiki ijayo wawe wamemaliza mambo yote ya kuripoti na kusajiliwa ili j3 wawe darasani kwa masomo.

Muda umeenda sana na kujiandaa kikamilifu ni ngumu kama wahusika hawajaona majina yao kuwa wamechaguliwa au wamekosa vyuo walivyoomba
 
IT wa Tanzania ni makanjanja kuanzia heslb,tcu,nacte hawajawahi kwenda on time...system zao zinasumbua as if hakuna watu wa maintenance
kinachowasaidia necta matokeo yao huwa ni suprise
 
Leo tarehe 15 nacte wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu nacte ni mpuuzi sana anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu nacte haifanyi kazi ni wababaishaji .

Mda wa kuripoti chuoni unakalibia nacte wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya mda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
Kwa kauli kama hizi bado tuna safari ndefu
 
Leo tarehe 15 NACTE wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu NACTE anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu NACTE haifanyi kazi ni wababaishaji .

Muda wa kuripoti chuoni unakaribia NACTE wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya muda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
Unasumbuliwa na mchecheto, hakuna wa kukunyima chuo na by the way hadi umeomba ulikuwa umeshajiandaa kusoma mwaka huu. Ni uongo eti watu huwa wanasubiri majina ndio wajiandae. Kuwa na subira, teknolojia tuliletewa ndio imesumbua sasa.
 
Amna mkubwa ukiahidiwa usipotimiziwa kulalamika ni haki coz ahadi ni Deni ila tuchunge kauli
 
Leo tarehe 15 NACTE wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu NACTE anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu NACTE haifanyi kazi ni wababaishaji .

Muda wa kuripoti chuoni unakaribia NACTE wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya muda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
Siku haijaisha braza kuwa na subira kidogo
 
Hivi vyuo vya serikali ngazi ya diploma vinaafunguliwa lini vile?,kuna kijana nilimuombe naona harejei tu toka JKT
 
Back
Top Bottom