Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Leo tarehe 15 NACTE wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu NACTE anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu NACTE haifanyi kazi ni wababaishaji .

Muda wa kuripoti chuoni unakaribia NACTE wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya muda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
 
Ifikie hatua watanzania tujifunze kua na subira... Uvumilivu n kitu kizur katika kila jambo au hatua katika maisha mkuu!
 
Fikri kabla ya kutenda tatizo si chuo wao walisema tarehe 14 na karo za vyuo ni kubwa now compare 2 zamani maandalizi mhimu
Mkuu andaa ada tu sisi nakumbuka vyuo vilitoa majina mwezi wa kumi na baada ya week moja ingetakiwa tuwe chuo na mikopo tuliambiwa tutaipata chuo huko huko
 
Leo tarehe 15 nacte wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu nacte ni mpuuzi sana anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu nacte haifanyi kazi ni wababaishaji .

Mda wa kuripoti chuoni unakalibia nacte wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya mda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
Wewe ropoka tu yaje yakukute makuu
 
Leo tarehe 15 nacte wameshindwa kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya diploma na cheti wakati waliahidi watatoa tarehe 14/09/2017 katibu mkuu nacte ni mpuuzi sana anatufanya watanzania hatuna akili wakati analipwa mshahara kwa kodi zetu nacte haifanyi kazi ni wababaishaji .

Mda wa kuripoti chuoni unakalibia nacte wamegoma kutoa majina gharama za vyuo ni kubwa zinahitaji maandalizi ya mda mrefu ukweli mnatuchanganya sana.
Mtoa uzi yuko emotional saana

Usipaniki utapata muuda kati ya siku 14 b4 hujaripoti….. Even ikiwa januar

Mtanganyika
 
Ifikie hatua watanzania tujifunze kua na subira... Uvumilivu n kitu kizur katika kila jambo au hatua katika maisha mkuu!
Acha ujinga ww kuna vitu vya kuvuta subira ila sio km hiki mana wengne huwa inatakiwa wajue mapema wapitishe mchango.
 
Mkuu andaa ada tu sisi nakumbuka vyuo vilitoa majina mwezi wa kumi na baada ya week moja ingetakiwa tuwe chuo na mikopo tuliambiwa tutaipata chuo huko huko
Kwasababu nyie mlifanyiwa makosa isije ikawa sababu yakuhalalisha makosa mengine.
 
Wewe ropoka tu yaje yakukute makuu
Acha kumtishia mwenzako,angalia alicholslamikia humo ninini,acha kuogopesha watu hakuna atakayeishi milele na hata hao wanaoleta majanga kwa binadamu wenzao usidhani wanapenda kufanya hivyo wote bali unakuta labda ni amri tu.
 
kiukweli hakuna jambo jema lina pangwa likaendana na ratiba katika awamu hii.. ila ya kipuuzi yanafanyika kwa muda mwafaka.. vyuo wanasema kulipoti ni tarehe 25.09. leo ni 15 bado siku 9 tuu. kwa ada zilivyo juu na maisha au pesa ilivyoadimika mtaani unahisi ni rahisi kufanya maadalizi kwa muda huo?
 
Huko ni kwao hawawezi wakafika labda kama atakorofishana na kapero .
 
Ifikie hatua watanzania tujifunze kua na subira... Uvumilivu n kitu kizur katika kila jambo au hatua katika maisha mkuu!
Subira gani mkuu ilihali watu walishataarifiwa tayar?
Tatizo watu wanatamka pasi na kuzingatia matamshi yao
 
Back
Top Bottom