billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,442
- 1,662
Kwani ndugu zanguni majina ni yawanao taka kujiunga certificate na diploma au ni ya bachelor
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Vuta subra had tjr 10 january
ukweli nacte ni wababaishaji sana mpaka sasa hivi hawajatoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kusomea kozi za afya na ualimu na hukuna dalili yeyote ile ya kutoa majina leo huu ni upuuzi wa hali ya juu sana nacte mnafanya kazi kwa mazoea sana .
Mnachelewesha kutoa majina watu watajiandaa lini ? na karo plus michango mingine acheni unyama huo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Vuta subra kidogo mana ata ivo siku bado haijaishaJamni kwa niaba ya wanafunzi wenzangu mbona matokeo hayatoki kama walivyo sema ama huku nilipo system sio nzuri?
Naomba kujua kama yametoka ama bado asante natangulia salamu kwenu Mungu akubariki wewe unaesaidia hili swali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali mm nauliza hivi ni mpaka vyuo vya private ama ni vya serikali tuuu????mbona mna hofu atacku bado haijaisha
leo ndio leo asemaye kesho mwongo
VANNY BOY..............
Swali mm nauliza hivi ni mpaka vyuo vya private ama ni vya serikali tuuu????
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu vyuo vya kilimo bado tu hawajatoa..?Nadhani hautazidi muda wa kazi kiserikali kuisha watakua wameshaweka,subirini hadi 9:30 alasiri
Sent using Jamii Forums mobile app
BadoHivi mkuu vyuo vya kilimo bado tu hawajatoa..?
walisema tarehe 14, hawakusema asubuhi mchana wala jioni, cha msingi vuteni subira siku iishe ndio muanze kutoa mapovu, ni mapema sana saizi kuanza kulaum au kusifu... subiri siku iishe mkuu.ukweli nacte ni wababaishaji sana mpaka sasa hivi hawajatoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kusomea kozi za afya na ualimu na hukuna dalili yeyote ile ya kutoa majina leo huu ni upuuzi wa hali ya juu sana nacte mnafanya kazi kwa mazoea sana .
Mnachelewesha kutoa majina watu watajiandaa lini ? na karo plus michango mingine acheni unyama huo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye yametoka[/SIZE]
Kama huna chakusema its better ukalale mkuu,yakitoka utajulishwa
Sent using Jamii Forums mobile app