Pressure gani tenaPoa poa mkuu
Pressure gani tenaPoa poa mkuu
Sec MkuuMsingi au sec vipi umepata joining instructions?
Vipi umepigiwa simu au umepata joining?Sec Mkuu
Mi nimechaguliwa pale lakini joining instructions Bado SijapataVipi umepigiwa simu au umepata joining?
Sawa mkuu mi kikaza. Kumbka kilaza huyu huyu na ujinga wangu nawe kuja kukuajir ww na madegree yako sasa si ungenambia tuu nijue kuwa nimekukwaza. Kuwa udsm,udom muhimbl au ifm sio kuwin maisha. Maisha yapo kitaa sio huko chuo. Huko tunaenda kutafta vyeti kuondoa ujinga rafiki yangu. Poa tyu so mbaya.Mkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!
Kazi ipo mi mwenyew ndo ivoKazi kwelikweli, mdogo wangu vyuo vyote not eligble na vyuo vyenye nafasi ni vichache kwa kweli na nikitaka kuingia kufanya udahili upya ni system running, hata sijui nini cha kufanya.
we unaonekana bado mtoto kiakili tena bila shaka ulikuwa unalia wakati una type.Sawa mkuu mi kikaza. Kumbka kilaza huyu huyu na ujinga wangu nawe kuja kukuajir ww na madegree yako sasa si ungenambia tuu nijue kuwa nimekukwaza. Kuwa udsm,udom muhimbl au ifm sio kuwin maisha. Maisha yapo kitaa sio huko chuo. Huko tunaenda kutafta vyeti kuondoa ujinga rafiki yangu. Poa tyu so mbaya.
Hata hivo mungu anasema usipojirud uwe km mtoto huingii mbingun so ni bora tu kukubali km mtoto then tuendleewe unaonekana bado mtoto kiakili tena bila shaka ulikuwa unalia wakati una type.
Badilisha browser unayotomiaJaman kwa anaejua tatizo litakua nn mie mpaka leo nikiingia kwenye profile yangu nakuta system still running
Huwez kuvipata vyuo vya prvt nacte mkuu utakesha.. Nacte mwaka huu wanatoa tu kwa vyuo vy serikai ualim na afya kama unataka vya private nenda moja kw mja chuo husika mkuuVipi wakuu leo system running message naona imetoka ilah sas shida nikwamba vyuo vya private sivipati wakuu msaada!!!
damian naona uko online, jaribu kuingia website ya nacte, je Apply on line (SAVS) inakubali? Mimi tangu jana inagoma.Yametoka
Badilisha browser unayotumiadamian naona uko online, jaribu kuingia website ya nacte, je Apply on line (SAVS) inakubali? Mimi tangu jana inagoma.
Natumia mozila, what else nitumieBadilisha browser unayotumia
Mkuu umechaguliwa course gani?Wakuu msaada kuhusu joining instructions mbona hawatutumii kwenye profile mpka saiz kimya tu kwa mwenye kufaham utaratibu anaendeleaje anijuze tafadhar