We umeomba kozi gani usiyoona majina..?Jamanii hadi leo majina hakuna, nacte wanataka nini?
Ndio mkuuLindi mkuu
yes wanafungua soon kwa second bite. jitahidi kuwa unakwenda nacte website, kila kitu kipo.Wakuu! Naombeni kufaham kwa waliokosa vyuo, kuna nafasi tena ya kufanya second applications...!? Na je kama ipo itaanza lini..!?
are you a girl maana dume kwenda huko majangaJamani kwa wale tulopangiwaaaa nursing and midwifery mtwaraaa tujuane mapema
I am a girl that is whyare you a girl maana dume kwenda huko majanga
It deals with connecting the world of technology to health careWakuu hivi diploma ya health information in science inahusu nini zaid na ajira zake zipoje
nimejaribu kuomba lugalo, kibaha , muhimbili majanga. huko competition ilikuwaje. point ngapi wamechukuaI am a girl that is why
So soko lake likojeIt deals with connecting the world of technology to health care