dottomasanja
Member
- Nov 26, 2014
- 64
- 15
Halafu simu hawapokeiiiiii yaaaaaan
Mpakaaa jumamos atakuwaaa amerudiiii hiii ndio wiki yakeeeeeOndoa hofu atarudiii tu huu ndo wenyewe
ucjali atarud mbona kunakambi nyingine madog washaanz kurudMpakaaa jumamos atakuwaaa amerudiiii hiii ndio wiki yakeeeee
Mmhh..wat kind of hellTayari nacte wameshatuma majina vyuoni. Kwa hiyo vyuo vitatoa majina ya waliochaguliwa
Una uhakika?Tayari nacte wameshatuma majina vyuoni. Kwa hiyo vyuo vitatoa majina ya waliochaguliwa
Sasahv simuamini mtu ukituma taarfa kuhusu nacte weka link kama ushaidiTayari nacte wameshatuma majina vyuoni. Kwa hiyo vyuo vitatoa majina ya waliochaguliwa
tuko pamoja kakSasahv simuamini mtu ukituma taarfa kuhusu nacte weka link kama ushaidi
Ni kweli jamaniiii auuuuuuTayari nacte wameshatuma majina vyuoni. Kwa hiyo vyuo vitatoa majina ya waliochaguliwa
Mkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!Acha ujinga ww kuna vitu vya kuvuta subira ila sio km hiki mana wengne huwa inatakiwa wajue mapema wapitishe mchango.
Duuuuuuuuh jamaniiiiMkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!
Kufauluuu maishaaaa sio kwendaaaa chuoooo kikuuuuDuuuuuuuuh jamaniiii
Kipimo sahihi cha mafanikio ni pesa nying au elimu kubwa......teh teh tehMkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!
logic gets no actionKweli wewe ni mjinga maana umeshakariri kuwa kila anaesoma diploma au certificate alifeli, wengine tumefaulu vzr Zaid yako na tunaitaka hiyo diploma, unatamba ikiwa ulipata iii point 24Mkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!
Yah umenenaJaman huko mlikofka siko,nacte,tcu,ukilaza,yote ni mipango ya mwenyez mungu mwenye uwezo wa kupanga na kupangua tusifikie sehem ya kuwaona wengne vilaza mbona wapo wengi wametoka TCU na tunasubri nacte kwa sasa hujawahi kujiuliza kwa nn? Tuwe wamoja maisha ni safari ndefu milima na mabonde yapo

Cc n WA 1Jaman huko mlikofka siko,nacte,tcu,ukilaza,yote ni mipango ya mwenyez mungu mwenye uwezo wa kupanga na kupangua tusifikie sehem ya kuwaona wengne vilaza mbona wapo wengi wametoka TCU na tunasubri nacte kwa sasa hujawahi kujiuliza kwa nn? Tuwe wamoja maisha ni safari ndefu milima na mabonde yapo



