dottomasanja
Member
- Nov 26, 2014
- 64
- 15
MBNA inafungukaaaTumejaribu hvo but imekataaa jaman dah afu sku zenyewe chache kweli yaaaan
MBNA inafungukaaaTumejaribu hvo but imekataaa jaman dah afu sku zenyewe chache kweli yaaaan
Kwa wale ambao tuliandikiwa not eligibleMBNA inafungukaaa
wamesema wanashughulika, kesho itakuwa tayarisystem imefunguliwa nashindwa kurudia application. aliyefanikiwa tafadhali alete feedback
Eligible means whatKwa wale ambao tuliandikiwa not eligible
Means they are not qualified to apply labda ajaribu lakin sijui kama atapataaaaaKwa wale ambao tuliandikiwa not eligible
Joining instructions ndo msema ukweliKuripoti chuo lini wakubwa Msaada tafadhali
Znapatikana vipi hizo joining instructionJoining instructions ndo msema ukweli
Walisemaaaa watatutumiaaaa kwenye profile zetuuuuZnapatikana vipi hizo joining instruction
Kulingana na Maelezo ya nacte vyuo vinafunguliwa tarehe 25 lakini hadi sasa hawaja tuma joining instructionWalisemaaaa watatutumiaaaa kwenye profile zetuuuu
Labdaaaaa tuwaulizeeee nacte kwa kuwapigiaaa simuuuuKulingana na Maelezo ya nacte vyuo vinafunguliwa tarehe 25 lakini hadi sasa hawaja tuma joining instruction
Umepataaa kozi ganiiiiiKulingana na Maelezo ya nacte vyuo vinafunguliwa tarehe 25 lakini hadi sasa hawaja tuma joining instruction
Nimepata kibaha coUmepataaa kozi ganiiiii
Singida,mtwara na Lindi clinical officer collegechuo gan na course gani aliomba
Mwambie apige sim nacte au aende watampaKuna dogo analia tu hapa kusahau username na password na hajui kama kachaguliwa au la
OkayNimepata kibaha co
diploma mtaanza wiki ya mwisho ya mwezi wa kumi kwasababu majina yenu hata vyuoni hayajafika bado.Chuo ndiyo kitapitia majina ya waliochaguliwa na kuwasaliana na nyie kuweni na amani madogo.Kulingana na Maelezo ya nacte vyuo vinafunguliwa tarehe 25 lakini hadi sasa hawaja tuma joining instruction