hebu muwe mnauliza maswali ya msingi kama wasomi.Oy me kweny account yngu nacte hakuna ujumbe wowot ila kwenye selection nimechaguliwa wanasema subiri uthibitisho toka chuoni manake nin wazee
CoooolNiaje humu ndani wadau?
Joining instructions zote badoooo hazijatoka sio ualimu Wala afya labda ufatilie chuoni moja kwa mojaWadau mliochaguliwa dakawa tc vp joining instructions zimetoka? Maana mi naona kimya
CoooolNiaje humu ndani wadau?
Lakn bunda TC wametolewa joining,cjui vyuo vingne kwa nnJoining instructions zote badoooo hazijatoka sio ualimu Wala afya labda ufatilie chuoni moja kwa moja
Utaripot vp mkuu bila joining instructions?Hivi tarehe ya kuripot bado ni ileile tar 25?
Bac nashauri vyuo vyote vivunje ile ratiba ya NACTE kwamba kuripot vyuoni na 25 sept, maana joining instructions until now hazjatoka na bado application it continue mpaka 1 OctJoining instructions zote badoooo hazijatoka sio ualimu Wala afya labda ufatilie chuoni moja kwa moja
Hataaa joining instructions watu hawajapataaaaWakuu nauliza vyuo vya afya wameanza kuripot chuon??
Na ukiombaaaa upyaaaa utaomba chuo ganiiiiii maaana vyuo vyote vilivyobaki ving ni vya watu wanaojiendelezaaa na nafas ni chache Kwan umepataaa chuo ganHiv nacte wanaruhusu kuhama chuo au niombe upya tuuu