Matokeo ya NACTE yametoka?

Unasubir chuo kithibitishe (kipitishe) jina lako kama final concluder then ndo utakuwa tayar kwa kwenda chuo
 
Mkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!
Si kila aliyesoma au anayetalajia kujiunga dploma ni miongon mwa waliofeli mitihan,,,, waliopo DIT,, MUHIMBILI,, NAKWINGINEKO INAWEZEKANA MATOKEO YAO YA KIDATO CHA NNE HUWEZ LINGANISHA NA YAKWAKO,, YALIYOBUMBWA KWA GPA,,,,
 
Mwaka huu udahili wa vyuo vya serikali umefanywa na wizara ya afya pamoja na nacte
 
Wa kus au kas,,,, hueleweki kama Upinzan wa Tanzania,,, kilichokutuma uponde diploma ni kipi? Nafanya kaz na vjana wa dploma,,, Uwezo walionao ni mkubwa kuliko unavyodhania,,,, ukubwa wa kichwa sio maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…