Hassan Enzi
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 207
- 53
Yaaaaan hawa nacte wanazinguaaaaaaa kweli jamaniiii mpakaaa Sasa hiv
kueni na subila lazima yatayoka tuuuuuuuuuuu
Yaaaaan hawa nacte wanazinguaaaaaaa kweli jamaniiii mpakaaa Sasa hiv
FACTJaman huko mlikofka siko,nacte,tcu,ukilaza,yote ni mipango ya mwenyez mungu mwenye uwezo wa kupanga na kupangua tusifikie sehem ya kuwaona wengne vilaza mbona wapo wengi wametoka TCU na tunasubri nacte kwa sasa hujawahi kujiuliza kwa nn? Tuwe wamoja maisha ni safari ndefu milima na mabonde yapo
Kwa muonekano unaonekana kama we ndo kilaza,uko university unasoma shahada ya nini? maana hata kuandika haujui au ndo shahada ya ufugaji nyuki?Mkuu cbishan na mtu anaeenda kusoma diploma au certificate wenzie wajanja sahv wanaenda university wewe na ukilaza wako uko unagombana na nacte ultakiwa ugombane na udsm, udom,ifm etc cyo nacte kilaza wewe! Nenda ukaresit ndo uje uniite mm mjinga!
Kweli atuambie uyooo...unaweza kuta anasoma degree ya hotel management....Kwa muonekano unaonekana kama we ndo kilaza,uko university unasoma shahada ya nini? maana hata kuandika haujui au ndo shahada ya ufugaji nyuki?
cjui ipo ila napita tuHahahahahahahahaha balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sanaKweli atuambie uyooo...unaweza kuta anasoma degree ya hotel management....![]()
![]()
![]()
cjui ipo ila napita tu
Hajielewi uyo anasomea hotel managementKwa muonekano unaonekana kama we ndo kilaza,uko university unasoma shahada ya nini? maana hata kuandika haujui au ndo shahada ya ufugaji nyuki?
Huhuhu! Kaen mdanganyane afu sibishan na watoto wa juzi ambao mnagombea boom na rb cafteria.. Nabshana na watu wazma hata ingekua asali cyo nyuki tu hata mabawa yake but at least i know what I'm doing! Kilaza m1 wewKwa muonekano unaonekana kama we ndo kilaza,uko university unasoma shahada ya nini? maana hata kuandika haujui au ndo shahada ya ufugaji nyuki?
Hata kama 3 ya 25 lakini cvai sare!..mmefaulu vzur c ungekua Tanzania one wee kaa kmya na elimu yako ya kuunga na super glue ule ugali wa bure wa kupimiwa!Kweli wewe ni mjinga maana umeshakariri kuwa kila anaesoma diploma au certificate alifeli, wengine tumefaulu vzr Zaid yako na tunaitaka hiyo diploma, unatamba ikiwa ulipata iii point 24
Umenena vyema mkuu the only thing i said ni watu wawe na uvumilivu! Then mtu anaamka anakuita mjinga hyo ndo shida ya kubshana na teenagers!Jaman huko mlikofka siko,nacte,tcu,ukilaza,yote ni mipango ya mwenyez mungu mwenye uwezo wa kupanga na kupangua tusifikie sehem ya kuwaona wengne vilaza mbona wapo wengi wametoka TCU na tunasubri nacte kwa sasa hujawahi kujiuliza kwa nn? Tuwe wamoja maisha ni safari ndefu milima na mabonde yapo
Majira yamebadilika ndugu Ncherry1, hiki ni kizazi cha duma kiko speed tofauti na vizazi vingine ambavyo nawe ulikuwepo ndani yake.Haina maana mtu kukwambia nitakuja saa mbili asubuhi halafu asitokee bila taarifa yoyote nawe ukajisemea mwenyewe "atakuja tu"..kwa mantiki hiyo,vijana wetu kuambiwa majina yatatangazwa tarehe 14/09 halafu mpaka muda huo haijawa hivyo ni haki yao ya msingi kusema ya moyoni na sio kujipa moyo kwamba yatakuja tuu.Kitendo chako cha kujikweza na kusema kwamba wanaosoma diplomasia si kitu umekosea pakubwa.Malengo ya mtu na maamuzi yake yaheshimu.Be humble,Thank you.Umenena vyema mkuu the only thing i said ni watu wawe na uvumilivu! Then mtu anaamka anakuita mjinga hyo ndo shida ya kubshana na teenagers!
NiceeeeeeeeeeMajira yamebadilika ndugu Ncherry1, hiki ni kizazi cha duma kiko speed tofauti na vizazi vingine ambavyo nawe ulikuwepo ndani yake.Haina maana mtu kukwambia nitakuja saa mbili asubuhi halafu asitokee bila taarifa yoyote nawe ukajisemea mwenyewe "atakuja tu"..kwa mantiki hiyo,vijana wetu kuambiwa majina yatatangazwa tarehe 14/09 halafu mpaka muda huo haijawa hivyo ni haki yao ya msingi kusema ya moyoni na sio kujipa moyo kwamba yatakuja tuu.Kitendo chako cha kujikweza na kusema kwamba wanaosoma diplomasia si kitu umekosea pakubwa.Malengo ya mtu na maamuzi yake yaheshimu.Be humble,Thank you.
Jina lako,uandishi wako,mawazo yako vyote vinaonyesha wewe bado ni mtoto.Huhuhu! Kaen mdanganyane afu sibishan na watoto wa juzi ambao mnagombea boom na rb cafteria.. Nabshana na watu wazma hata ingekua asali cyo nyuki tu hata mabawa yake but at least i know what I'm doing! Kilaza m1 wew
C kadi langu la klinik unalo mkuu!Jina lako,uandishi wako,mawazo yako vyote vinaonyesha wewe bado ni mtoto.
Well said mkuu! But kila mtu ana haki ya kutoa mawazo bcoz this is a free zone na hakuna mwenye haki ya kumuita mtu mjinga au mpuuz.. And kusoma diploma au certificate au degree its everyone's destiny kila mtu atafanikiwa kwa njia yake hata aishie chekechea..haijalish umetumia njia gani kufanikiwa au una elim gan but cha msing ni mafanikio tu! Hzo nyngne n mbwembwe but mtu anapotoa mawazo yake yaheshimiwe kutokana na uelewa wake na syo kumtusi au kutamka vbaya.. And siku zoote anaye anza aonekan ila anayemalza ndo anaoneka mkuu! Its jf anyway kila mtu yuko free kuzungumza anachotaka!Majira yamebadilika ndugu Ncherry1, hiki ni kizazi cha duma kiko speed tofauti na vizazi vingine ambavyo nawe ulikuwepo ndani yake.Haina maana mtu kukwambia nitakuja saa mbili asubuhi halafu asitokee bila taarifa yoyote nawe ukajisemea mwenyewe "atakuja tu"..kwa mantiki hiyo,vijana wetu kuambiwa majina yatatangazwa tarehe 14/09 halafu mpaka muda huo haijawa hivyo ni haki yao ya msingi kusema ya moyoni na sio kujipa moyo kwamba yatakuja tuu.Kitendo chako cha kujikweza na kusema kwamba wanaosoma diplomasia si kitu umekosea pakubwa.Malengo ya mtu na maamuzi yake yaheshimu.Be humble,Thank you.
Umeeleweka mkuu.Well said mkuu! But kila mtu ana haki ya kutoa mawazo bcoz this is a free zone na hakuna mwenye haki ya kumuita mtu mjinga au mpuuz.. And kusoma diploma au certificate au degree its everyone's destiny kila mtu atafanikiwa kwa njia yake hata aishie chekechea..haijalish umetumia njia gani kufanikiwa au una elim gan but cha msing ni mafanikio tu! Hzo nyngne n mbwembwe but mtu anapotoa mawazo yake yaheshimiwe kutokana na uelewa wake na syo kumtusi au kutamka vbaya.. And siku zoote anaye anza aonekan ila anayemalza ndo anaoneka mkuu! Its jf anyway kila mtu yuko free kuzungumza anachotaka!