Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Well said mkuu! But kila mtu ana haki ya kutoa mawazo bcoz this is a free zone na hakuna mwenye haki ya kumuita mtu mjinga au mpuuz.. And kusoma diploma au certificate au degree its everyone's destiny kila mtu atafanikiwa kwa njia yake hata aishie chekechea..haijalish umetumia njia gani kufanikiwa au una elim gan but cha msing ni mafanikio tu! Hzo nyngne n mbwembwe but mtu anapotoa mawazo yake yaheshimiwe kutokana na uelewa wake na syo kumtusi au kutamka vbaya.. And siku zoote anaye anza aonekan ila anayemalza ndo anaoneka mkuu! Its jf anyway kila mtu yuko free kuzungumza anachotaka!
fact
 
Well said mkuu! But kila mtu ana haki ya kutoa mawazo bcoz this is a free zone na hakuna mwenye haki ya kumuita mtu mjinga au mpuuz.. And kusoma diploma au certificate au degree its everyone's destiny kila mtu atafanikiwa kwa njia yake hata aishie chekechea..haijalish umetumia njia gani kufanikiwa au una elim gan but cha msing ni mafanikio tu! Hzo nyngne n mbwembwe but mtu anapotoa mawazo yake yaheshimiwe kutokana na uelewa wake na syo kumtusi au kutamka vbaya.. And siku zoote anaye anza aonekan ila anayemalza ndo anaoneka mkuu! Its jf anyway kila mtu yuko free kuzungumza anachotaka!
FACT
 
Ndio yaan walisema ni tarehe 14/09/17 lkn ad Leo chenga alafu tarehe 25/09 masomo yanaanza rasmi.duu watajiandaaje kama watachaguliwa mbali?
 
Hapo ni kwenda
Ndio yaan walisema ni tarehe 14/09/17 lkn ad Leo chenga alafu tarehe 25/09 masomo yanaanza rasmi.duu watajiandaaje kama watachaguliwa mbali?
pasipo ada wala nn wakiuliza unawajibu mlichelewesha selection hatujajiandaaaaaa
 
Sasa ccm inakujaje,,,ndo maana diploma ampewagi mikopi coz wengi amjielewi,,,GET WELL SOON LISU.
sio mikopi, sema mikopo.. namashaka na akili yako.. kweli kuna vizibo wanapewa mikopo hata kuunga maneno ni shida....
 
Back
Top Bottom