Well said mkuu! But kila mtu ana haki ya kutoa mawazo bcoz this is a free zone na hakuna mwenye haki ya kumuita mtu mjinga au mpuuz.. And kusoma diploma au certificate au degree its everyone's destiny kila mtu atafanikiwa kwa njia yake hata aishie chekechea..haijalish umetumia njia gani kufanikiwa au una elim gan but cha msing ni mafanikio tu! Hzo nyngne n mbwembwe but mtu anapotoa mawazo yake yaheshimiwe kutokana na uelewa wake na syo kumtusi au kutamka vbaya.. And siku zoote anaye anza aonekan ila anayemalza ndo anaoneka mkuu! Its jf anyway kila mtu yuko free kuzungumza anachotaka!