Anselem mathew
Senior Member
- May 17, 2017
- 107
- 66
Hivi wakuu kama tayar umeshachaguliwa sasa chuo watatoa lini maana hatujui kabxaa kama ni chuo gan nimechaguliwa na kozi ggan na ni certificate au diploma mwenye kuelewa huo atujuze jmn
KeshoHivi wakuu kama tayar umeshachaguliwa sasa chuo watatoa lini maana hatujui kabxaa kama ni chuo gan nimechaguliwa na kozi ggan na ni certificate au diploma mwenye kuelewa huo atujuze jmn
naomba link uliyofunguliaHivi wakuu kama tayar umeshachaguliwa sasa chuo watatoa lini maana hatujui kabxaa kama ni chuo gan nimechaguliwa na kozi ggan na ni certificate au diploma mwenye kuelewa huo atujuze jmn
naomba lonkKesho
DuhKufauluuu maishaaaa sio kwendaaaa chuoooo kikuuuu
Kwani hakuna second selection?!selection tayari zimetoka, madogo wawili niliowaombea wote wamekosa. Wanadai sababu ni competition in sewlected programs, so sad indeed.
Wamesema watafungua system kwa mara nyingine ili waombe tena, ila this time nadhani vyuo vingi/vyote vitakuwa ni private.Kwani hakuna second selection?!
Ulichoo ombaWakuu naomben msaada kwa hili,,,kuna pale kwenye kuomba wanaandika kwamb mfano jumaa kaomba certificate/diploma sasa hapo naenda soma dip àu certfcate msaada wakuu
Yaa ila mimi nataka kujua upande wa kilimo ambao hadi sasa hawajaweka cuz wahusika waliombea direct vyuoniZishatoka mkuu
Hongera umechaguliwaSamahani wanajukwaaa naomba mnisaidie kuangalia kahama nimechagiliwa au laa maana najaribu kulogin inazingua tangia Jana
Username:S1646/0017/2011,password:AU9gds4k
Natanguliza shukurani