Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 484
- 799
Sawa, Najua. Uchungu wa nin? Nipo huku kijijin I/C wa dispensary, naletewa kuku na mahindi na wanakijiji wangu, nimewekewa pesa ya kutosha kwenye acc ya zahanat na serikali yangu pendwa, mimi kazi yangu ni kutumia pesa kuleta tija kt afya za wanakijiji hawa wa Tanzania. I'm happy to be a Clinical Officer na kufany kazi na hawa wanakijiji, by the way wananiita Daktari, vp MD wangu niwazuie?? Maana ni km unateseka hiviumeongea kwa machungu sana mganga ,pole
ila ujue tu we sio daktari