Matokeo Kidato cha sita: Lengo limetimia!

Matokeo Kidato cha sita: Lengo limetimia!

Wamefaulishwa wengi kweli sasa nimejiuliza kuna kata za chuo kikuu?
Kwa kweli hata kama ni njia za kushika dola basi hii waliotumia ni haramu kabisa!
 
Unajua maana ya BIG RESULTS NOW?? Fuatilia matokeo haya ya kidato cha sita.

Division zero mwaka jana 2604, mwaka huu 612. Tofauti watu 1992, sawa na asilimia 325%.

Division one, mwaka jana 325, mwaka huu 4,365. Tofauti 4040, sawa na asilimia 1243%. Haya ni maajabu ya karne.

Walitanua ukubwa wa goli ili iwe rahisi kufunga... Kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi zero 600 tu mwaka huu. Kutoka div.one 300 tu mwaka jana hadi one zaidi ya 4,000 mwaka huu.

Hivi waalimu walewale wa shule zilezile zilizotoa one 300 mwaka jana ndo wametoa one 4,000 mwaka huu??

Changamoto zao zimetatuliwa? Maabara zimejengwa? Vitabu vimeongezwa? Madai ya walimu yamelipwa? Waalimu wa Kiswahili wameacha kufundisha Hesabu kutokana na ukosefu wa waalimu wa hesabu?

Kama changamoto hizo zote hazijatatuliwa mabadiliko haya ya ghafla kutoka div.one 300 hadi div.one zaidi ya 4,000 yametoka wapi? Kweli tumeamua kutanua goli tufunge kirahisi. Karibu Tanzania, hii ndiyo BRN bhana.!

Wanasema BRN means Big Results Now, mimi namwambia Waziri Kawambwa BRN, yani he should "Better Resign Now" maana watoto wetu wanapata BRN = Brain Receive Nothing.!!

Ni shida sanaaa.
 
aiseeee.....!!!!!!!!!!safi sana mkuu kwa kuliona ii jambo. Mi nilikua nahangaika apa kufanya tathimin ya matokeo yao kidato cha sita walipokua kidato cha nne..!this is shame..!!!!!!!
kwa yeyote anaetumia brain kufanya tathimin ya matokeo ya haya matokeo ataungana na mm kuwa hawa watoto hawakudeserve kupata izo grade walizopata.
kama ni miujiza ilishatendeka nyakat za mitume na manabii.....siku hizi hakuna kitu kinaitwa miracles ila ni usanii tu umejawa hapa..
tunategemea kupata aina gani ya madaktari, wahandisi, walim na wengine kwa sampuli hii...????
jaman tufanye mchezo na vyote ila swala la elim...mmmmmmh apana
 
Mkuu Elimu Ya Tanzania Kwa Sasa Ni Janga Lisilobebeka,.


Division 3 Ya Mwaka Juzi Ni Division 1 Ya Mwaka Huu.

''BRN''
 
Unajua maana ya BIG RESULTS NOW?? Fuatilia matokeo haya ya kidato cha sita.

Division zero mwaka jana 2604, mwaka huu 612. Tofauti watu 1992, sawa na asilimia 325%.

Division one, mwaka jana 325, mwaka huu 4,365. Tofauti 4040, sawa na asilimia 1243%. Haya ni maajabu ya karne.

Walitanua ukubwa wa goli ili iwe rahisi kufunga... Kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi zero 600 tu mwaka huu. Kutoka div.one 300 tu mwaka jana hadi one zaidi ya 4,000 mwaka huu.

Hivi waalimu walewale wa shule zilezile zilizotoa one 300 mwaka jana ndo wametoa one 4,000 mwaka huu??

Changamoto zao zimetatuliwa? Maabara zimejengwa? Vitabu vimeongezwa? Madai ya walimu yamelipwa? Waalimu wa Kiswahili wameacha kufundisha Hesabu kutokana na ukosefu wa waalimu wa hesabu?

Kama changamoto hizo zote hazijatatuliwa mabadiliko haya ya ghafla kutoka div.one 300 hadi div.one zaidi ya 4,000 yametoka wapi? Kweli tumeamua kutanua goli tufunge kirahisi. Karibu Tanzania, hii ndiyo BRN bhana.!

Wanasema BRN means Big Results Now, mimi namwambia Waziri Kawambwa BRN, yani he should "Better Resign Now" maana watoto wetu wanapata BRN = Brain Receive Nothing.!!
 
0011.jpg


Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mhe. Dk Shukuru Kawambwa akifafanua jambo wakati akizindua wa utekelezaji wa mikakati ya "Matokeo makubwa Sasa" ambapo kwa kingereza unaitwa "Big Result now" katika sekta ya elimu.

Mwaka 2012 watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha sita walikuwa ni 46,658. Mwaka 2013 watahiniwa 50,611 walifanya mtihani huo na kati yao 44,366 walifaulu. Mwaka 2014 watahiniwa 40,695 walifanya mtihani ambapo watahiniwa 38,905 walifaulu.

Matokeo ya mwaka 2013 yanaonyesha kuwa watahiniwa 325 waliofanya mtihani wa kidato cha sita walipata Division I. Matokeo ya mwaka 2014 yanaonyesha kuwa watahiniwa 4,365 wamepata Division I. Ukilinganisha na mwaka jana hapa kuna ongezeko la watahiniwa 4,040 ambayo ni sawa na 1243% waliopata Division I mwaka huu. Niwape pongezi akina Mamndenyi na wengine wooote ambao watoto wao wamepata Division I.

Waliopata Division II mwaka jana walikuwa 5,372 na mwaka huu ni zaidi ya watahiniwa 9,631, ongezeko la karibu mara mbili au zaidi. Waliopata Division III mwaka jana ni 30,183 na mwana huu ni 16,821. Watahiniwa waliopata Division IV ni 4,362 na mwaka huu ni 4,420. Waliotaka yai mwaka jana ni 2,604 na mwaka huu ni 612 tuu ambapo ni tofauti ya watahiniwa 1992, sawa na 325%!

Kutoka watahiniwa 325 waliopata Division I mwaka 2013 hadi watahiniwa 4,365 siyo mchezo. Waingereza/Wamarekani watakuambia this is extraordinary. Pia kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi kufikia zero 600 mwaka huu ni maajabu ya karne. Natumaini mwaka huu hakutakuwa na vilio na malalamiko mengi kutoka kwa wazazi juu ya watoto wao kutaga mayai. Hao 600 waliotaga mayai must be very unlucky indeed.

Matokeo haya ni mafanikio makubwa sana ukizingatia kuwa shule ni zile zile na walimu ni wale wale, changamoto kwenye sekta ya elimu ni zile zile, bado kuna uhaba wa mahabara na vitabu, walimu wanalalamika mishahara midogo (nasikia wengine wanataka kugoma), uhaba wa walimu, n.k. Lakini pamoja na hayo yote bado wanafunzi wameweza kupasua ile mbaya. Who knows may be maombi ya akina Kaunga nayo yamesaidia na Mungu akaamua kufanya miujiza hii ya karne.

But whether amkawewe calls this "genetically modified results" or CHUAKACHARA "politically modified results", I say this is BIG RESULTS NOW, MENGINE TUTAJIJU HUKO MBELE.

Ndiyo maana vyombo vingi vya habari vimenywea kuchanganua haya matokeo.

Pia poleni Alumni wooooote wa Tambaza.
 
Unajua maana ya BIG RESULTS NOW?? Fuatilia matokeo haya ya kidato cha sita.

Division zero mwaka jana 2604, mwaka huu 612. Tofauti watu 1992, sawa na asilimia 325%.

Division one, mwaka jana 325, mwaka huu 4,365. Tofauti 4040, sawa na asilimia 1243%. Haya ni maajabu ya karne.

Walitanua ukubwa wa goli ili iwe rahisi kufunga... Kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi zero 600 tu mwaka huu. Kutoka div.one 300 tu mwaka jana hadi one zaidi ya 4,000 mwaka huu.

Hivi waalimu walewale wa shule zilezile zilizotoa one 300 mwaka jana ndo wametoa one 4,000 mwaka huu??

Changamoto zao zimetatuliwa? Maabara zimejengwa? Vitabu vimeongezwa? Madai ya walimu yamelipwa? Waalimu wa Kiswahili wameacha kufundisha Hesabu kutokana na ukosefu wa waalimu wa hesabu?

Kama changamoto hizo zote hazijatatuliwa mabadiliko haya ya ghafla kutoka div.one 300 hadi div.one zaidi ya 4,000 yametoka wapi? Kweli tumeamua kutanua goli tufunge kirahisi. Karibu Tanzania, hii ndiyo BRN bhana.!

Wanasema BRN means Big Results Now, mimi namwambia Waziri Kawambwa BRN, yani he should "Better Resign Now" maana watoto wetu wanapata BRN = Brain Receive Nothing.!


Shikamok serikali ya Tanzania
 
Sielewagi hatma ya elimu ya Tanzania.
Naona kama hatupo serious kwenye jambo hili nyeti.
 
Siasa na future ya nchi yetu,kama tunaigiza tamthilia..

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Viongozi wa serikali ya Tanganyika wataweka record ya kuwa viongozi wa kwanza wasioipenda nchi yao!
 
matahira wa Lumumba hutawaona kwenye huu uzi kamwe!
cc: MSALANI
 
Last edited by a moderator:
Kweli wamechemsha ila hii elimu haijaanza kuanguka sahiv ghafla tu ilianza tangu uko
kwa kuwaongeza sekta nyingine mishahara na kuwasahau walimu au kuwapa kiduchu
mtazamo wangu km walimu wangekuwa na posho sawa na za wabunge na kungejuwa na alama maalum za mtu kusomea ualimu km div 1 na 2 pekee ndo wawe walimu
na sio wale wenye div 4 na combination zisizo balance
 
Unajua maana ya BIG RESULTS NOW?? Fuatilia matokeo haya ya kidato cha sita.

Division zero mwaka jana 2604, mwaka huu 612. Tofauti watu 1992, sawa na asilimia 325%.

Division one, mwaka jana 325, mwaka huu 4,365. Tofauti 4040, sawa na asilimia 1243%. Haya ni maajabu ya karne.

Walitanua ukubwa wa goli ili iwe rahisi kufunga... Kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi zero 600 tu mwaka huu. Kutoka div.one 300 tu mwaka jana hadi one zaidi ya 4,000 mwaka huu.

Hivi waalimu walewale wa shule zilezile zilizotoa one 300 mwaka jana ndo wametoa one 4,000 mwaka huu??

Changamoto zao zimetatuliwa? Maabara zimejengwa? Vitabu vimeongezwa? Madai ya walimu yamelipwa? Waalimu wa Kiswahili wameacha kufundisha Hesabu kutokana na ukosefu wa waalimu wa hesabu?

Kama changamoto hizo zote hazijatatuliwa mabadiliko haya ya ghafla kutoka div.one 300 hadi div.one zaidi ya 4,000 yametoka wapi? Kweli tumeamua kutanua goli tufunge kirahisi. Karibu Tanzania, hii ndiyo BRN bhana.!

Wanasema BRN means Big Results Now, mimi namwambia Waziri Kawambwa BRN, yani he should "Better Resign Now" maana watoto wetu wanapata BRN = Brain Receive Nothing.!!

Inasikitisha sana kuona serikali yetu imefika mahali inafanya mtihan na kujisahihishia wenyewe.
 
Mkuu umechambua vizuri sana... mimi nawaomba wana harakati wa elimu wafanye uchunguzi huru kubaini kilichojiri... jamani elimu inafanyiwa biashara na kura za watz ... There is trade off between education vs politics ... tuweni macho jamani nchi inaangamia .
 
Fowarded as receivedUnajua maana ya BIG RESULTS NOW?? Fuatilia matokeo haya ya kidato cha sita.Division zero mwaka jana 2604, mwaka huu 612. Tofauti watu 1992, sawa na asilimia 325%.Division one, mwaka jana 325, mwaka huu 4,365. Tofauti 4040, sawa na asilimia 1243%. Haya ni maajabu ya karne.Walitanua ukubwa wa goli ili iwe rahisi kufunga... Kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi zero 600 tu mwaka huu. Kutoka div.one 300 tu mwaka jana hadi one zaidi ya 4,000 mwaka huu.Hivi waalimu walewale wa shule zilezile zilizotoa one 300 mwaka jana ndo wametoa one 4,000 mwaka huu?? Changamoto zao zimetatuliwa? Maabara zimejengwa? Vitabu vimeongezwa? Madai ya walimu yamelipwa? Waalimu wa Kiswahili wameacha kufundisha Hesabu kutokana na ukosefu wa waalimu wa hesabu?Kama changamoto hizo zote hazijatatuliwa mabadiliko haya ya ghafla kutoka div.one 300 hadi div.one zaidi ya 4,000 yametoka wapi? Kweli tumeamua kutanua goli tufunge kirahisi. Karibu Tanzania, hii ndiyo BRN bhana.! Wanasema BRN means Big Results Now, mimi namwambia Waziri Kawambwa BRN, yani he should "Better Resign Now" maana watoto wetu wanapata BRN = Brain Receive Nothing.!
Wako wapi Msalani,Simiyu yetu,Faiza Fox na wenzake walizungumzie hili?maana haya ndio matokeo ya siasa zao.Wajiulize watoto wao,wadogo zao na ndugu zao wanapata elimu ya ubora gani hii?
 
Back
Top Bottom