Mkuu ningependa kujua ulimaliza mwaka gani. form six na pia ulipata division gani ndipo uendelee kukoment ili usiendelee kuwa potosha wengine!!
Yaani huyo jamaa anayejiita DT angelikuwa karibu yangu, ningelikwisha mtia adabu. Anashabikia upuuzi wa kufeli kisha anasema hakuna tofauti kubwa?! -------- kabisaa.