maiko sultan
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 866
- 1,968
Ukistayajabu ya Tanzania utayaona ya Uganda. Shame to you chura kiziwi na kaka yake Mseveni
mtu hata ndevu hanyoi ndio amshinde m7? itakua ni maajabu
ukombozi wa ndevu na malofa labdaMtu yupo busy na ukombozi anakumbuka kujiremba kama wewe kweli?

Duniani kosa vyote usikose akili.ukombozi wa ndevu na malofa labda![]()
wenye akili kamwe hawawezi kumchagua kiongozi lofa kama bob wine gentleman,Duniani kosa vyote usikose akili.
Pole ndugu yangu!

Kwa hy M7 ndo mwenye sense?abaki tu mzoefu wa kushindwa uchaguzi vibaya sana na kamwe hawezi kua kiongozi wa Uganda mtu nonsense kama yule![]()
m7 ataitawala Uganda atakavyo gentleman,Kwa hy M7 ndo mwenye sense?
Unachekesha bro.....pata akili basi hata kidogo!

Wapuuzi kama nyinyi ndio mtatetea huu upumbavuWapumbavu kama nyinyi ndo mnaweza kuamini hayo matokeo yametoka wapi yaani kuanzia dakika ya kwanza wakati wa kuhesabu m7 alikua anaongoza mpaka mwisho hayo kayatoa nani???
Hili dikteta jizi linaulizwa kwanini limezima internet linasema , lenyewe na wenzake ndio lilitengeneza internet hivyo ndio maana wameamua waizime maana watu wametaka kuleta vurugu.
Sasa unajiuliza internet na vurugu vina uhusiano gani?
Linaulizwa kwanini polisi wake wanapiga wapinzani wake linasema sababu wapinzani ndio wanavunja sheria na jiji kubwa halitakiwi watu waandamane.
View: https://x.com/i/status/2011786363910168863
Unaleta individual opinion???? We jamaa mbona umekua lijinga sanaa???Wapuuzi kama nyinyi ndio mtatetea huu upumbavu
![]()
421K views · 50K reactions | Are these videos evidence of rigging in Uganda’s election? President Museveni was declared winner but Bobi Wine rejected the “fake results” and has gone into hiding. The internet was restored but social media remains blo
Are these videos evidence of rigging in Uganda’s election? President Museveni was declared winner but Bobi Wine rejected the “fake results” and has gone into hiding. The internet was restored but...www.facebook.com
Unaona tuko kwenye jukwaa la Mapishi hapa???🚯🚯🚯🚯🚯
CCM and NRM are partners in crime!Uganda na Tanzania hakuna mpinzani hata moja mwenye sifa ya kushinda uchaguzi na kukamata dola, huenda ikatoke miaka mingi mno ijayo,
wapinzani waliopo kwasasa ni vibaraka waropokaji na mamaluki tu, na hicho ndicho kikwazo kwao![]()
Yaani nikimuangalia Bob Wine najiuliza yaani Uganda nzima hakuna watu wa kushindana na M7? Afadhali hata Kiiza BesidyeUganda na Tanzania hakuna mpinzani hata moja mwenye sifa ya kushinda uchaguzi na kukamata dola, huenda ikatoke miaka mingi mno ijayo,
wapinzani waliopo kwasasa ni vibaraka waropokaji na mamaluki tu, na hicho ndicho kikwazo kwao![]()