Matokeo halisi yavuja

Matokeo halisi yavuja

View attachment 3531498

-Haya ni matokeo ya mwisho yaliyovuja katika kituo cha kura cha Tume ya Uchaguzi ya Uganda, The Strong Room

Afisa mmoja katika chumba cha makusanyo aliirekodi na kuivujisha bila kujulikana.

NUP tulishinda, na ndiyo maana H.E Bobi Wine amekataa yale yanayoitwa matokeo yaliyotangazwa na watendaji wa serikali.

Waganda WAKATAA matokeo feki.

Haya ndiyo matokeo halisi. ✊🏽👇🏾👇🏾👇🏾


View: https://youtu.be/GRW5cCWdhdg?si=9CEpsrTZCMM9YK1g


NChi za Africa zinaongozwa na watu wajinga mnoo. Fikiria kuna mtu mmoja yeye alishinda kwa kupata kura 31M kati ya 32M, ambayo ni sawa na asilimia 98. Lakini mtu huyo anaogopa kutoka hadharani. Kajificha kizimkazi.
 
magaidi hata milioni10 wakipotezwa at once kwenye nchi yenye watu milio70+ ni ahuweni muhimu sana,
iatasaidia mno kurahisisha uatikanaji wa huduma za kijamii kwa wananchi wote na kwa amani zaidi.

ni vizuri dunia nzima kuungana kuyaangamiza magaidi kukote yatakapojichanganya, kwakua hayana faida yoyote ispokua uharibifu tu :NoGodNo:
Watu milioni kumi wakikukataa hao sio magaidi hapo wewe ndio una shida na pia huwezi kuuwa watu milioni kumi nawewe ukabaki hai na Kwa amani. Utauwawa tu. Imagine Samia anaenda the Hague mwezi wa Tisa Kwa kuuwa watu elfu kumi sembuse milioni kumi TAFAKARI.
 
porojo hii inafanana na zile za karne ya16, dah :pedroP:

mtu hata ndevu hanyoi ndio amshinde m7? itakua ni maajabu:pedroP:
Sometime jichetue kidogo usimame na haqi ya Akhee,usiwe kauzu kwa kila jambo. Hata mwanae Mu7 akiandika kwa kuficha jina lake atasema dingi kachemka.
 
Uganda ni salama zaidi ikiwa na M7. Tanzania ni salama mara 100 chini ya Uganda ya M7 na ili atokea hapo Tz iridhie anaeingia as its to Burundi.

Hutaki acha.

Mwenye akili atanielewa.

Pazeni sauti kudai Matokeo yenu.
Nawe unajihesabu kuwa na akili?

Kwa hiyo kati yenu, wewe na Samia ni yupi anamzidi mwingine!
 
Bongo bahati mbaya
IMG-20260119-WA0002.jpg
 
Final ya AFCON jana imetoa message loud&clear
1.Bila hakhi hakuna amani
2.Hakhi inadaiwa hata ikibidi kwa nguvu
3.Kila jambo lina ukomo- baada ya kubebwa kwenye mechi nyingi jana Morocco wamekwaa kisiki na kupata aibu ya milele.
 
Back
Top Bottom