Matokeo Arusha sio mazuri kwa mabadiliko

Matokeo Arusha sio mazuri kwa mabadiliko

nafikiri wachangiaji wengi hamjaelewa maana ya post yangu'Arusha ndio kitivo haswa cha mabadiliko'sasa kama ccm wamepata kura nyingi kiasi hicho je mikoa ambayo watu bado wamelala itakuwaje?kwa ujumla nataka kusema ccm haikutakiwa kupata kura hizo ilizopata hata nusu yake kwa sababu wapiga kura wa Arusha wameamka sana'naomba nieleweke hivyo
 
unapotaka kufanya analysis jaribu kujiuliza, ni wapi wapinzani wameanza, je walianza katika mazingira yapi kisiasa, kwa miaka hii 20 na ushee ya vyama vingi ni kweli wamefanya mambo makubwa mno, hongera ziwafikie Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kuongoza safu hii ya mashambulizi dhidi ya CCM.

Pamoja na changamoto zote wanazopata, hujuma toka ndani ya vyombo vya dola, Tume ya uchaguzi, Ofisi ya Msajiri wa vyama lakini bado wanapeta; Kuna watu walikuwa na dhana kwamba upinzani wa kweli utapatikana tu baada ya CCM kumeguka vipande viwili, hili si kweli na mpaka sasa CCM inazidi kudhoofika as we move on with this game.
 
hivi daftari la kupigia kura lingeboreshwa matokeo yangekuwaje?
 
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu


nimukuelewa mkuu, we have to struggle more
 
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu


wEWE MUAJI KAMA HUJARIDHIKA NA USHINDANI HUU.NADHANI WEWE NI CCM UNAJARIBU KUJIRIWAZA
 
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

Usife moyo, kumbuka waliopiga kura ni wale waliojiandikisha 2015, wengi wapenda mabadiliko wamepoteza vitambulisho, sasa umri umefika etc.
Hata mimi pia nimestuka kura ccm kupata kura zaidi ya 1000 kwenye kituo cha kupigia kura, licha ya mauaji wanayofanya.
 
Kura jumla umeziona...? asilimia 10 umeitoa wapi...? hivi sisi Tanzania hasa vijana tuna matatizo gani au ni shule tulizosoma....?
 
Acha uchizi mkuu hizo walizopata ni zile walizoleta na magari ya polisi
 
This is an important observation!

[TABLE="width: 202"]
[TR]
[TD] PARTY [/TD]
[TD] VOTES [/TD]
[TD]Pecentage[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] CCM [/TD]
[TD] 3,123[/TD]
[TD="align: right"]31.6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] CDM [/TD]
[TD] 6,077[/TD]
[TD="align: right"]61.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] CUF [/TD]
[TD] 695[/TD]
[TD="align: right"]7.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Total [/TD]
[TD] 9,895[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

Ukome kufikiria kwa ------......! Kama wapiga kura wengi wangejitokeza unadhani mambo yangebaki kama yalivyo! Ujinga tu!
 
nafikiri wachangiaji wengi hamjaelewa maana ya post yangu'Arusha ndio kitivo haswa cha mabadiliko'sasa kama ccm wamepata kura nyingi kiasi hicho je mikoa ambayo watu bado wamelala itakuwaje?kwa ujumla nataka kusema ccm haikutakiwa kupata kura hizo ilizopata hata nusu yake kwa sababu wapiga kura wa Arusha wameamka sana'naomba nieleweke hivyo
rosemarie kwanza ni muhimu utambue kwamba ccm ni chama dola, kina financial resources za serikali, kinatumia vyombo vya dola kufanya chochote wanachotaka, na ukizingatia mazingira ya Arusha ambapo watu wameuwawa katika mkutano wa Chadema na kisha siku mbili baadae wakapigwa tena katika uwanja huo huo wakiomboleza vifo vya wenzao na kama haitoshi ccm kwa kutumia mkuu wa mkoa na waziri ole medeye wakatumia nguvu ya ukabila mkoani Arusha, ni wazi kuwa lengo lao lilikaribia kutimia ni bahati nzuri kwamba wananchi wa Arusha walikuwa tayari kuifia demokrasia ndio maana tumefika hapo.

Pili ufahamu kuwa ccm haijafa kabisa Arusha isipokuwa kikiwa chama tawala na chama dola lakini kimezidiwa nguvu na Chadema. Pia kuna watu ambao bado wako ccm kutokana na maslahi yao binafsi kwahiyo wataendelea kuipigia kura.

Lakini kwa ujumla vitisho vya vyombo vya dola vimechangia kwa sehemu kubwa wananchi wengi kushindwa kujitokeza kupiga kura na hilo ndio lilikuwa lengo la ccm ili watumie fursa hiyo kuchakachua bahati mbaya kwao makamanda wa Chadema walikuwa wamejipanga vizuri mno na kudhibiti mianya yote ya kuchakachua. Hata hivyo ninaungana na wewe kwamba wapenda mageuzi wite tuungane pamoja kama kweli tunataka kuing'oia ccm madarakani mwaka 2015 kwakuwa wao wana nguvu ya pesa na vyombo vya dola.
 
Last edited by a moderator:
Matokeo yameshaanza kutangazwa??

yafuatayo ni matokeo .ARUSHA

1. Kata ya Themi
chadema= 678
ccm =326
cuf=313

2.Kata ya kimandolu
chadema=2665
ccm=1169

3.Kaloleni
chaedma=1019
ccm=389
cuf=169

4.Elerai
chadema=1715
ccm=1239
cuf=213
 
Samahani Rosemarie.Tafadhali ainisha maana ya neno ANALYSIS maana labda limepoteza maana ya awali.Wewe amini uaminivyo CDM hata ikianguka inaangukia MBELE CCM inaanguka CHALI aina ya kifo cha mende
 
Ahsante sana kwa hekima na busara zako. Umeongea maneno mazito sana hapo kwenye bold Mkuu.

Hakuna cha observation wala nini. CHADEMA walikuwa wanashindana na dola, chama, mafisadi na kila uchafu unaoweza kuufikiria. Kwa hiyo, kila kura iliyohesabiwa na CCM wakaipata, basi wagawie wadau wake wote kisha upate jawabu.
 
Rosemarie had a point, I agree with her in all angles, but she should know all the roughs which had been played by Magamba. Chadema has passed in a hard way. After all you cannot got to heaven without dying.:help:
 
ambao hamjamuelewa huyu jamaa mna vichwa vigumu...na inaelekea ni magamba magumu...
 
Haujaeleweka.

anasema kama Arusha mkoa uliamka kwa kujitambua kwa kiasi kikubwa iweje waweze kupata kura nyingi kllvyo ccm japo hawajashinda ila kura zimekuwa nyingi tofauti na matarajio yake
 
Back
Top Bottom