Naendelea...
10.toka uchaguzi 2010,hakuna kata tuliyopokonywa na ccm
11.si watu wote ni wapenda mabadiliko
12.si watu wote wanaupeo wa kuelewa na kufanya maamuzi sahihi,mfano mpaka leo kuna wav walishaapa kutopiga kura,wapo wanaopanga foleni kwenda kuharibu kura zao makusudi
13.rusha na hongo wanaihimili wachache,ndio mana kwa kutambua hilo tunafanya kila liwezekanalo kutotoa mwanya kwa ccm kuhonga wapiga kura mana wakifanikiwa hata washabiki wetu wengi watachagua kupigia rushwa,na tambua mtego huu kuna watu umewanasa,
14.mpaka sasa wapiga kura wanaopiga kura ni chini 40%.
SASA MAAJABU UNAYOYATAKA NI BAADA YA DAFTARI LA KUDUMU KUFANYIWA MAREKEBISHO,na kujiridhisha kuwa waliopiga kura ni wachache mno chini ya watu 10,000 katika kata nne zenye population ya malaki ya watu.
Angalia population detail za sensa