Matokeo Arusha sio mazuri kwa mabadiliko

Matokeo Arusha sio mazuri kwa mabadiliko

na sehemu yenye wachapakazi ndiyo sehemu wanaotambua CDM ,lakini kama ni walalahoi na hawajitambui ndiyo sehemu CCM wanajiokotea mfano tabora ,singida , songea nk
 
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Themi[/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Kimandolu[/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Kaloleni[/TD]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"]Elerai[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Kura[/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CDM[/TD]
[TD]678[/TD]
[TD]51%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]2665[/TD]
[TD]70%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1019[/TD]
[TD]65%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1715[/TD]
[TD]54%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM[/TD]
[TD]326[/TD]
[TD]25%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1169[/TD]
[TD]30%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]389[/TD]
[TD]25%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]1239[/TD]
[TD]39%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CUF[/TD]
[TD]313[/TD]
[TD]24%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]169[/TD]
[TD]11%[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]213[/TD]
[TD]7%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Jumla[/TD]
[TD]1317[/TD]
[TD]100%[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3834[/TD]
[TD]100%[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1577[/TD]
[TD]100%[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3167[/TD]
[TD]100%[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
chadema ni chalenger tu si champion bado hawajakubalika na watanzania bali ni wanywa viroba na waendesha bodaboda tu

Una roho ngumu kama ya paka shume.
 
Mkuu pole kwa maumivu lakini wapiga kura ndiyo wenye maamuzi ya mwisho kazi bado inaendelea.

tha the thi thi thi, ya speakin nonsense nigga! Poor st.upi.¥ guy, ain't nobody stop dis for sure! God is great, ye all say aimen!
 
Kwa hiyo waendesha bodaboda siyo watanzania? Na wanywa viroba pia? Nadhani hapo ulipo unatwanga kiroba ili kupunguza maumivu ya kushindwa a town kwa vile wewe ni mchina.
 
Sijafurahi kuona ccm ikipata zaid ya kura 100 kwenye kata za jiji la Arusha. CDM inapaswa kujipanga zaidi, ccm haitaancha kucheza michezo michafu zaidi ya bomu nakutisha raia. CDM ielekeze nguvu kwenye elimu ya uraia umuhimu wa vijana kujiandikisha na kupiga kura.
 
Mkuu nadhani ukipata matokeo ya 16/6/2013 ukaangalia kwa ujumla CCM ilipata kura ngapi na Chadema ilipata kura ngapi (Jumla ya kura zote katika kata zote) unaweza kupata mwanga ni kwa jinsi gani Watanzania wanaikataa CCM na fedha zao chafu

Yeye alitaka watu wengi zaidi waikatae mkuu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kwa hiyo waendesha bodaboda siyo watanzania? Na wanywa viroba pia? Nadhani hapo ulipo unatwanga kiroba ili kupunguza maumivu ya kushindwa a town kwa vile wewe ni mchina.

Ina maana bodaboda za Kyela walipewa Chadema?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
This is an important observation!

mwaka 2010 CCM ... ! JK alipata 61.17% Dr. Slaa 26.34% Lipumba 8%
Arusha udiwani.........! CDM 61.40% CCM 31.56% CUF 7%

hayo ndio matokeo ... mikoa ambayo haijaamka ndiyo imeto kata 6 kati ya 22 na hapo kama ungejua mapambano yaliyokuwapo huko usinge amini hata hivyo sita vilipatikana, katika kata 26 CCM imechukua 16 na Chadema imechukua 10

Pamoja na Ushindi wa madiwani wengi kwa CCM bado jumla ya watu walio wapigia madiwani wa CDM ni wengi kwa ujumla wao zaidi ya waliochagua CCM....! km wewe ni mwanahisabati utapata majibu yako
 
Watawala ni waoga wa kushindwa hawataki kuboresha daftari la wapiga kura,matokeo wapiga kura wachache wanajitokeza ktk chaguzi ndogo.

Ukichukulia jimbo la Arusha ni jimbo la mjini,lenye heka heka nyingi za kiuchumi na biashara,utagundua watu wengi waliopiga kura miaka 3 iliyopita wameisha hama kikazi,wamemaliza shule/vyuo ama kustaafu!

Na wale waliohamia Arusha hawakuweza piga kura sababu hawakuandikishwa kama wapiga kura wa Arusha licha ya kwamba waliochaguliwa leo watakua wawakilishi wao. Binafsi nilikua mpiga kura kata ya Elerai uchaguzi uliiopita,siku hizi siishi tena Arusha. Na nawafahamu wenzangu wengi tu ambao hawaishi tena Arusha.

Wakazi wa Elerai mtakumbuka uchaguzi uliopita jinsi CDM ilipata kura nyingi pale Azimio JWTZ. Sasa hivi yale makazi yameisha vunjwa. So zimepotea kura nyingi tu za CDM.
 
Usiwe na wasiwasi ......maana vijana hawajajiandikisha vyakutosha!!!!!
Wakijiandikisha CCM kwishhhshsshshney
 
Sijafurahi kuona ccm ikipata zaid ya kura 100 kwenye kata za jiji la Arusha. CDM inapaswa kujipanga zaidi, ccm haitaancha kucheza michezo michafu zaidi ya bomu nakutisha raia. CDM ielekeze nguvu kwenye elimu ya uraia umuhimu wa vijana kujiandikisha na kupiga kura.

Nimekupata mkuu ila usiwaze sana maana hata hizo kura ni wazee "saaaaaaana" ndio wamewapa CCM, na sio vijana!
 
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu


Mkuu hata usiwe na wasiwqsi yaani hapo ni baada ya hao magamba kufanya kila aina ya hila ili angalau wapate kata moja,na kumbuka ya kuwa Nchemba alikuwepo huko kwa mwezi mzima akitumia hela na kila aina ya mbinu ambazo zipo kinyume na taratibu za uchaguzi.
 
chadema ni chalenger tu si champion bado hawajakubalika na watanzania bali ni wanywa viroba na waendesha bodaboda tu

kumbe waendesha bodaboda wanaweza kuchagua madiwani wa kata nne..???"!!!
 
This is an important observation!
...yaa hata mimi nilitazama kwa mtazamo huo lakini nikajaribu pia kuangalia facts kwamba daftari lililotumika ni la 2010,pia hawa ccm walikuwa na special interest hapo arusho so naamini wamecheza kila aina ya rafu ili waharibu jina la cdm. So ukichukulia eneo ni dogo na wanaweza kupita nyumba kwa nyumba na kugawa buku ten hasa kwa watu wasio na msimamo...
 
mleta mada kwa jinsi nilivyomuelewa alitaka ccm pamoja na hila zake plus resources zote walizotumia ktk uchaguzi huu,wakose kura kabisa.kama nimemuelewa sivyo nisahihisheni wakuu.
 
rosemarie kwanza ni muhimu utambue kwamba ccm ni chama dola, kina financial resources za serikali, kinatumia vyombo vya dola kufanya chochote wanachotaka, na ukizingatia mazingira ya Arusha ambapo watu wameuwawa katika mkutano wa Chadema na kisha siku mbili baadae wakapigwa tena katika uwanja huo huo wakiomboleza vifo vya wenzao na kama haitoshi ccm kwa kutumia mkuu wa mkoa na waziri ole medeye wakatumia nguvu ya ukabila mkoani Arusha, ni wazi kuwa lengo lao lilikaribia kutimia ni bahati nzuri kwamba wananchi wa Arusha walikuwa tayari kuifia demokrasia ndio maana tumefika hapo.

Pili ufahamu kuwa ccm haijafa kabisa Arusha isipokuwa kikiwa chama tawala na chama dola lakini kimezidiwa nguvu na Chadema. Pia kuna watu ambao bado wako ccm kutokana na maslahi yao binafsi kwahiyo wataendelea kuipigia kura.

Lakini kwa ujumla vitisho vya vyombo vya dola vimechangia kwa sehemu kubwa wananchi wengi kushindwa kujitokeza kupiga kura na hilo ndio lilikuwa lengo la ccm ili watumie fursa hiyo kuchakachua bahati mbaya kwao makamanda wa Chadema walikuwa wamejipanga vizuri mno na kudhibiti mianya yote ya kuchakachua. Hata hivyo ninaungana na wewe kwamba wapenda mageuzi wite tuungane pamoja kama kweli tunataka kuing'oia ccm madarakani mwaka 2015 kwakuwa wao wana nguvu ya pesa na vyombo vya dola.

Niongezee tu kusema katika siasa ya ushindani ya vyama vingi usitegemee watu wote wakakupenda ama kukupigia kula,hata kama Chadema ingekua peke yake wapo ambao wangesema No or yes,hivyo kwa mazingira yalio kuwepo kwa kweli huu ushindi bado ni kwa kishindo
 
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

ungesema haya km daftari la kura lingeboreshwa kila mwaka..waulize kwann wanaogopa kuboresha daftari la wapiga kura?
 
Back
Top Bottom