Matokeo Arusha sio mazuri kwa mabadiliko

Matokeo Arusha sio mazuri kwa mabadiliko

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
Nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?

Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu
 
Mkuu nadhani ukipata matokeo ya 16/6/2013 ukaangalia kwa ujumla CCM ilipata kura ngapi na Chadema ilipata kura ngapi (Jumla ya kura zote katika kata zote) unaweza kupata mwanga ni kwa jinsi gani Watanzania wanaikataa CCM na fedha zao chafu
 
nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?
Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

This is an important observation!
 
nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?
Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

nimekuelewa una maana gani! halafu ni haki yako kutoa mawazo kama haya. lakini ninaomba uelewe hivi: angalia nguvu zote zinazotumiwa na chama tawala halafu na michezo mibaya. kwa kuangalia factors kama hizi na zaidi basi huna sababu ya kuwa na wasiwasi. mambo siyo mabaya kwani bila nguvu za Mungu hali ingekuwa mbaya. Mungu hatupi kiumbe chake hasa kinchowatetea wengine
 
Mkuu pole kwa maumivu lakini wapiga kura ndiyo wenye maamuzi ya mwisho kazi bado inaendelea.
 
nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?
Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

Update ya daftari la wapiga kura itakuduwaza. Subiri wakati ufuke!!!!!
 
Hakuna cha observation wala nini. CHADEMA walikuwa wanashinda na dola, chama, mafisadi na kila uchafu unaoweza kuufikiria. Kwa hiyo, kila kura iliyohesabiwa na CCM wakaipata, basi wagawie wadau wake wote kisha upate jawabu.

fafanua sijakupata!
 
chadema ni chalenger tu si champion bado hawajakubalika na watanzania bali ni wanywa viroba na waendesha bodaboda tu
 
nikiwa kama mmoja wa wapenda mabadiliko nashangazwa sana na matokeo ya Arusha muda huu'tulitegemea ccm kupata chini ya asilimia 10 ya kura zote'nikienda kwenye point moja kwa moja ni kwamba kama Arusha yenye watu walioamka kiasi hiki wameweza kupigia ccm kura nyingi kiasi hiki je mikoa ambayo bado imelala itakuwaje?
Sijui kama unaweza kutafakari na kuelewa ninachojaribu kuweka hapa'nafikiri kazi ni kubwa mno iliyo mbele yetu kwani kama Arusha ccm wameweza kupata kura nyingi hivi je 2015?itakuwaje'natoa wito kwa wapenda mabadiliko wote tuungane kwa hali na mali kuhakikisha tunaweka mambo sawa kwa mikoa yote'kwa kweli 2015 kuongozwa tena na ccm ni kuleta maangamizi zaidi kwa taifa letu

this is fallacy argument....unapokutoa analysis ya jambo lazimu utazame context....CDM katika uchaguzi huu imepita katika majaribu ambayo naweza sema hawajawahi pina na hawakuwahi fikiria kama pana siku wanaweza pitia. kitendo cha mlipuko wa bomu kwenye kampeni zake kitazamwe kwa jicho la tatu kwani kuna watu waliamini kuwa yawezekana ni CDM ndiyo wamefanya hili.....fikilia kampeni chafu za ccm mpaka jana wakiwa na lengo baya zaidi ambalo yamkini halijawahi tokea pia la kuwahamasisha malwaigwana kutoa matamuko kuwa wachaga wanatuaribia jiji letu.....kumbuka hawa wazee wanaheshimika sana arusha....tamko lao limeathri mambo mengi.......mkuu think twice before u twite:yield:
 
wanajiridhisha ccm kwa kuangukia pua, all in all ushindi ndiyo unaomata siku zote.
 
Back
Top Bottom