Matapeli wa Madini Mwenge, kuweni makini

Matapeli wa Madini Mwenge, kuweni makini

Status
Not open for further replies.
Gari ni muhimu sana maana unaepukana na mengi barabaran,,kama mvua,jua na hata watu wa namna hyo....
Sio sehem zote utatumia gari..
Matapeli wapo mpaka mule ndani ya bank.
 
Hivi pesa ilivyokua ngumu sikuhizi kuna mtu anatepeliwa kizembe hivi? ila pole sana.
 
Kosa ukisimama na kuanza kumsikiliza tu......... pole sana.
 
aisee hao watu sometimes wanakuwa na viuchawi flani hivi nahisi, huwa wanatarget mtu mwenye pesa tu, na mara nyingi ukiruhusu conversation ya dakika moja tu vigumu sana kuchomoka, pia wanaangalia na mtu.
nakumbuka wakati nipo chuo kuna jamaa yangu alishawahi kuchukuliwa sh. laki nne boom ndo limeingia tu, wakamkuta posta wakampiga kiswahili kaingia kwenye Prado ili wakauze almasi masaki, wakaenda hadi coco wakambadilikia wakamshusha hana simu wala mia, alitembea hadi kariakoo
 
pole ila umeibiwa kizembe sana hata sisi wa mkoani tunakushangaa.
Nikiwa mjini huwa sina mda wa kuongea na mtu sijui nyie mnaupata wapi
 
aisee hao watu sometimes wanakuwa na viuchawi flani hivi nahisi, huwa wanatarget mtu mwenye pesa tu, na mara nyingi ukiruhusu conversation ya dakika moja tu vigumu sana kuchomoka, pia wanaangalia na mtu.
nakumbuka wakati nipo chuo kuna jamaa yangu alishawahi kuchukuliwa sh. laki nne boom ndo limeingia tu, wakamkuta posta wakampiga kiswahili kaingia kwenye Prado ili wakauze almasi masaki, wakaenda hadi coco wakambadilikia wakamshusha hana simu wala mia, alitembea hadi kariakoo
kweli aisee hujakosea kama imani yako ni haba ukiongea nao tu umeibiwa.
 
Hivi kwa nn umueleze mtu usiyemjua ratiba yako? Eti naenda bank kufungua acc. Uwasaidie weee ni kituo cha misaada? Jmn tamaa hizi. Sasa km yeye ilikuwa akupe m 3 alishindwa nn kufungua acc yake au kumsaidia yule aliyekuwa na shida? Just a matter of thinking fast n being smart. I hope umepata akili. Na hiyo namba ht ukipiga hutawapata tena unless unataka kutapeliwa tena
 
pole ila umeibiwa kizembe sana hata sisi wa mkoani tunakushangaa.
Nikiwa mjini huwa sina mda wa kuongea na mtu sijui nyie mnaupata wapi
Hahahaha hili nalichukua, nikifika town nakuwa uso wa mbuzi, nakaza.
 
Siwezi kutapeliwa hivyo aisee...God help me! Huwa ni mgumu sana kuruhusu maongezi kama hayo..mtu yoyote akinisemesha barabarani kichwani mwangu nawaza tu huyu atakuwa tapeli.
 
Duuh!. Kunani Mkuu mpaka unitafute asee?

Au nawe unataka kuniteka? Hahaha (kidding)
Ni kuhusu sred zako mbili naona zinakinzana au mimi sikuzielewa inagawa zilinisisimua sana Mkuu. Kukuteka hadi Paul Christian apatikane huko Tabora kwani alitumia cheti cha Bashite
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom