Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

Tupakule

Member
Jun 28, 2018
78
355
Habar za muda huu!

Niende kwenye mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yangu kuna sehemu tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kwenye ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta.

Tunaingia kwenye ATM, hapo kwenye ATM kuna sheli ya mafuta lakini mabasi yanayoenda mikoani wanapita hapo kwa ajili ya kuchimba dawa na kupata huduma ya chakula.

Basi ile jamaa anataka kuingia ATM mlinzi akatumbia machine hazina fedha.

Basi kuangalia pembeni tukaona kuna NMB wakala jamaa akaona bora akatoe fedha kupitia NNB wakala.

Jamaa akaingia akatoa fedha na akapewa risiti kuwa ametoa fedha tayari na tukaingia sheli tukajaza mafuta hao tukasepa.

Tukiwa tumefika sehemu tunayoenda jamaa akawa ametoa simu yake kucheki anaoana kuna sms mbili za nmb kuwa ametoa fedha, sms zote zikawa zinaonyesha muda ni huo huo yaani hazikutofautina muda. Yaani kiujumla wake zote zinaonehsha saa 10: 10.

Jamaa akawa amenishirikisha kuwa mbona anaona sms mbili kwenye simu yake na zote za nmb?? Kiwango cha fedha cha kutoa kilikuwa sawa kwa sms zote mbili.

Nikamshauri jamaa aanglie salio kwenye simu yake na uzuri jamaa anatumia NMB app. Jamaa kuchek anakuta fedha imepungua, hapo tukaona basi huyu jamaa atakuwa amepigwa na hao wadada kwenye kutoa fedha kwa NMB wakala.

Tukashaurina tumalize kazi iliyotuleta then tupitie hiyo sehemu. Basi kazi ikaisha hao ikabidi tupitie hapo tulipotoa fedha. Tumefka dada kumuona jamaa kama akashtuka hivi, jamaa akatoa maelezo hapo, dada akamwambia ulitoa fedha saa ngapi? Jamaa akajibu, " nimetoa fedha saa 10.10" Dada akachukua machine yake akaanza kuangalia miamala ya muda huo.

Akaanza mara oooohhh we namba yako inaishia na ngap? Jamaa akamjibu inaishia 60. Dada akaanza mara hapa ngoja. Niangalie salio mara tena hapa miamala mbona ipo mitatu. Sisi tupo kimya. Mara dada akasema andika namba yako hapo kama nikikuta hasara nitakupigia ili urudishe hiyo fedha. Jamaa akaandika namba yake ya simu na hapo dada akatoa hiyo fedha. Jamaa akamuambia dada aitume hiyo fedha irudi kwenye account yake. Basi hao mimi na jamaa yangu tukasepa, tukiwa njiani tukawa tunajiuliza maswal kadhaa

1. Pale abiria wanashuka kupata chakula mfano ameenda kutoa fedha akapigwa inakuwaje?

2. Kama simu yako hujaunganisha na bank ili wawe wanakutumia sms ukitoa fedha au kuingiziwa fedha inakuwaje?

Tuweni makini sana na hawa wakala wa bank wakuu.
 
watanzania wapuuzi sana, unaweza kuta mtu ana risk maokoto yake ya mamilioni kadhaa kwa laki mbili tatu, ushaur wa bure kwa yeyote anayesoma ujumbe huu, sehemu pekee yakutolea pesa ni kwenye ATM. Na kingine kama unajijua unahifadhi pesa nyingi kwenye akaunti moja hakikisha una fungua akaunti nyingine kwa benki hyo hiyo au nyingine ili uwe unatoa pesa zako ndogo ndogo za matumizi.Chagua akaunti mama ambayo utakuwa huamishi mara kwa mara zaidi ya kuingizia tu maokoto. SIKU UKIJA KUPIGWA DEKI NA WATU WAJANJA WAJANJA UTAELEWA NINI MAANA YAKE BAADA YA KUHANGAIKA SANA NA POLISI NA MA MENEJA WA BENKI.
 
NMB kwa ujumla ni benki yenye mifumo mibaya na rahisi kuingiliwa na wahuni.

Inasemekana control room ya mifumo yake ipo South Africa.

Kuna lile tawi la Kisarawe ni hovyo sana. Madirisha yapo sita ila moja wapo pekee ndilo linafanya kazi.

Hii benki sijui ilishindaje tuzo ya mwajiri bora wakati wana huduma mbovu.

Historia inaonyesha kwamba NMB ni benki inayoongoza kwa kupigwa fedha nyingi hapa nchini kupitia uporaji.

Kuna uporaji mkubwa umewahi kutokea matawi ya Ubungo, Temeke na Moshi, achilia mbali udukuzi mdogo na mkubwa ukiwemo huu wa mawakala wao.
 
Habar za muda huu!! Mm sio mwandishi mzur kweny maelezo but natumain ujumbe wang utawafikia.
Niende kweny mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yang kuna sehem tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kweny ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta. Tunaingia kweny ATM, hapo kweny ATM kuna sheli ya mafuta lakin mabas yanayoenda mikoan wanapita hapo kwa ajil ya kuchimba dawa na kupata huduma ya chakula. Bas ile jamaa anataka kuingia ATM mlinzi akatumbia machine hazina fedha. Bas kuangalia pemben tukaona kuna nmb wakala jamaa akaona bora akatoe fedha kupiitia nmb wakala. Jamaa akaingia akatoa fedha na akapewa risiti kuwa ametoa fedha tayar na tukaingia sheli tukajaza mafuta hao tukasepa. Tukiwa tumefka sehem tunayoenda jamaa akawa ametoa simu yake kuchek anaoana kuna sms mbili za nmb kuwa ametoa fedha, sms zote zikawa zinaonyesha muda ni huo huo yaan hazikutofautina muda. Yaan kiujumla wake zote zinaonyehsha saa 10: 10. Jamaa akawa amenishirikisha kuwa mbona anaona sms mbili kweny simu yake na zote za nmb?? Kiwango cha fedha cha kutoa kilikuwa sawa kwa sms zote mbili. Nikmashaur jamaa aanglie salio kweny simu yake na uzur jamaa anatumia nmb app. Jamaa kuchek anakuta fedha imepungua, hapo tukaona bas huyu jamaa atakuwa amepigwa na hao wadada kweny kutoa fedha kwa nmb wakala. Tukashaurina tumalize kaz iliyotuleta then tupitie hiyo sehem. Bas kaz ikaisha hao ikabid tupitie hapo tulipotoa fedha. Tumefka dada kumuona jamaa kama akashtuka ivi, jamaa akatoa maelezo hapo, dada akamwambia ulitoa fedha saa ngap?? Jamaa akajibu, " nimetoa fedha saa 10.10" Dada akachukua machine yake akaanza kuangalia miamala ya muda huo. Akaanza mara oooohhh we namba yako inaishia na ngap?? Jamaa akamjib inaishia 60. Dada akaanza mara hapa ngoja. Niangalie salio mara tena hapa miamala mbona ipo mitatu. Sisi tupo kimyaaa. Mara dada akasema andika namba yako hapo kama nikikuta hasara ntakupgia ili urudishe hyoo fedha. Jamaa akaandika namba yake ya simu na hapo dada akatoa hiyoo fedha. Jamaa akamuambia dada aitume hyo fedha irud kweny account yake. Bas hao mm najamaa yang tukasepa tukiwa njian tukawa tunajiuliza maswal kadhaaa

1. Pale abiria wanashuka kupata chakula mfano ameenda kutoa fedha akapigwa inakuwaje??
2. Kama simu yako hujaunganisha na bank ili wawe wanakutumia sms ukitoa fedha au kuingiziwa fedha inakuwaje??


Tuwen making sana na hawa makala wa bank wakuuu.
Nimesoma nimeelewa,lakin najaribu kutafakari ujanja uliotumika kutoa miamala 2 ndiyo nashindwa kuelewa. Why?
Wakala anakuomba Kadi,Kisha ana swap na ku insert,wewe ndiye unayeweka namba ya Siri ya Kadi na kutaja kiwango unachotaka kutoa. Machine ipo programmed, mfumo wa benki upo programmed. Nini kinafanyika kufanya double withdrawal ? Japokuwa kupata double alert messages huwa inatokea pia. Tusaidiane hapo
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Habar za muda huu!

Niende kwenye mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yangu kuna sehemu tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kwenye ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta.

Tunaingia kwenye ATM, hapo kwenye ATM kuna sheli ya mafuta lakini mabasi yanayoenda mikoani wanapita hapo kwa ajili ya kuchimba dawa na kupata huduma ya chakula.

Basi ile jamaa anataka kuingia ATM mlinzi akatumbia machine hazina fedha.

Basi kuangalia pembeni tukaona kuna NMB wakala jamaa akaona bora akatoe fedha kupitia NNB wakala.

Jamaa akaingia akatoa fedha na akapewa risiti kuwa ametoa fedha tayari na tukaingia sheli tukajaza mafuta hao tukasepa.

Tukiwa tumefika sehemu tunayoenda jamaa akawa ametoa simu yake kucheki anaoana kuna sms mbili za nmb kuwa ametoa fedha, sms zote zikawa zinaonyesha muda ni huo huo yaani hazikutofautina muda. Yaani kiujumla wake zote zinaonehsha saa 10: 10.

Jamaa akawa amenishirikisha kuwa mbona anaona sms mbili kwenye simu yake na zote za nmb?? Kiwango cha fedha cha kutoa kilikuwa sawa kwa sms zote mbili.

Nikamshauri jamaa aanglie salio kwenye simu yake na uzuri jamaa anatumia NMB app. Jamaa kuchek anakuta fedha imepungua, hapo tukaona basi huyu jamaa atakuwa amepigwa na hao wadada kwenye kutoa fedha kwa NMB wakala.

Tukashaurina tumalize kazi iliyotuleta then tupitie hiyo sehemu. Basi kazi ikaisha hao ikabidi tupitie hapo tulipotoa fedha. Tumefka dada kumuona jamaa kama akashtuka hivi, jamaa akatoa maelezo hapo, dada akamwambia ulitoa fedha saa ngapi? Jamaa akajibu, " nimetoa fedha saa 10.10" Dada akachukua machine yake akaanza kuangalia miamala ya muda huo.

Akaanza mara oooohhh we namba yako inaishia na ngap? Jamaa akamjibu inaishia 60. Dada akaanza mara hapa ngoja. Niangalie salio mara tena hapa miamala mbona ipo mitatu. Sisi tupo kimya. Mara dada akasema andika namba yako hapo kama nikikuta hasara nitakupigia ili urudishe hiyo fedha. Jamaa akaandika namba yake ya simu na hapo dada akatoa hiyo fedha. Jamaa akamuambia dada aitume hiyo fedha irudi kwenye account yake. Basi hao mimi na jamaa yangu tukasepa, tukiwa njiani tukawa tunajiuliza maswal kadhaa

1. Pale abiria wanashuka kupata chakula mfano ameenda kutoa fedha akapigwa inakuwaje?

2. Kama simu yako hujaunganisha na bank ili wawe wanakutumia sms ukitoa fedha au kuingiziwa fedha inakuwaje?

Tuweni makini sana na hawa wakala wa bank wakuu.
Asante kwa Taarifa 👏
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Inawezkna ni chai e
 
Je, inawezekana? Jibu ni NDIYO.

Inawezekanaje?
1. Mtandao kucheza. Unapotoa fedha, mteja unandikiwa kiwango na wakala, kisha anakupa uweke PIN yako ya card.

Baada ya hapo, wakala atacommand mashine iprocess taarifa na kuleta feedback. Kama kuna hela itatoa, kama salio halitoshi basi itasema.

Sasa mtandao ukicheza, itazunguka wee then itarudi pale kwenye sehemu ya kucommand. Wakala atarudia tena.

Kinachotokea ni kuwa kama kuna hela itatoa kadri ya ambavyo imekuwa commanded. Kwa muktadha wa swala lako ilikuwa commanded mara mbili.
 
Habar za muda huu!

Niende kwenye mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yangu kuna sehemu tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kwenye ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta.

Tunaingia kwenye ATM, hapo kwenye ATM kuna sheli ya mafuta lakini mabasi yanayoenda mikoani wanapita hapo kwa ajili ya kuchimba dawa na kupata huduma ya chakula.

Basi ile jamaa anataka kuingia ATM mlinzi akatumbia machine hazina fedha.

Basi kuangalia pembeni tukaona kuna NMB wakala jamaa akaona bora akatoe fedha kupitia NNB wakala.

Jamaa akaingia akatoa fedha na akapewa risiti kuwa ametoa fedha tayari na tukaingia sheli tukajaza mafuta hao tukasepa.

Tukiwa tumefika sehemu tunayoenda jamaa akawa ametoa simu yake kucheki anaoana kuna sms mbili za nmb kuwa ametoa fedha, sms zote zikawa zinaonyesha muda ni huo huo yaani hazikutofautina muda. Yaani kiujumla wake zote zinaonehsha saa 10: 10.

Jamaa akawa amenishirikisha kuwa mbona anaona sms mbili kwenye simu yake na zote za nmb?? Kiwango cha fedha cha kutoa kilikuwa sawa kwa sms zote mbili.

Nikamshauri jamaa aanglie salio kwenye simu yake na uzuri jamaa anatumia NMB app. Jamaa kuchek anakuta fedha imepungua, hapo tukaona basi huyu jamaa atakuwa amepigwa na hao wadada kwenye kutoa fedha kwa NMB wakala.

Tukashaurina tumalize kazi iliyotuleta then tupitie hiyo sehemu. Basi kazi ikaisha hao ikabidi tupitie hapo tulipotoa fedha. Tumefka dada kumuona jamaa kama akashtuka hivi, jamaa akatoa maelezo hapo, dada akamwambia ulitoa fedha saa ngapi? Jamaa akajibu, " nimetoa fedha saa 10.10" Dada akachukua machine yake akaanza kuangalia miamala ya muda huo.

Akaanza mara oooohhh we namba yako inaishia na ngap? Jamaa akamjibu inaishia 60. Dada akaanza mara hapa ngoja. Niangalie salio mara tena hapa miamala mbona ipo mitatu. Sisi tupo kimya. Mara dada akasema andika namba yako hapo kama nikikuta hasara nitakupigia ili urudishe hiyo fedha. Jamaa akaandika namba yake ya simu na hapo dada akatoa hiyo fedha. Jamaa akamuambia dada aitume hiyo fedha irudi kwenye account yake. Basi hao mimi na jamaa yangu tukasepa, tukiwa njiani tukawa tunajiuliza maswal kadhaa

1. Pale abiria wanashuka kupata chakula mfano ameenda kutoa fedha akapigwa inakuwaje?

2. Kama simu yako hujaunganisha na bank ili wawe wanakutumia sms ukitoa fedha au kuingiziwa fedha inakuwaje?

Tuweni makini sana na hawa wakala wa bank wakuu.
Inawezekana ikawa shida ya mtandao maaana kuna siku message ya kutoa hela ila ilikuwa hela za kwenye simu ilionesha nimetoa hela na message zikaja mbili na zinafanana kila kitu.
Ila aende benki yeyote iliyo karibu yake kwa maelezo zaidi na achukue bank statement inaonesha transaction zote na mawakala wote wanakuwa wamesajiliwa na wanatambulika kisheria.
 
Back
Top Bottom